Hili tumekwisha kubaliana, na sifa zetu ni kwa Gwajima. Na huyo mwingine je, sijui Gwekul sijui na nani..., hilo ndilo nililo kuitia mkuu 'PhD'.Gwajima ametimiza wajibu wake, baadhi ya watuhumiwa wanne wamepandishwa mahakani leo, sasa ni kazi ya Jaji kutenda haki.
Bado hujanipa msaada ninao utafuta mkuu 'Magwangala'. "Shangazi Fetty" katika sakata hii nafasi yake ni ipi hasa?Shangazi Fetty
Ndiye afande muombwa msamaha!Bado hujanipa msaada ninao utafuta mkuu 'Magwangala'. "Shangazi Fetty" katika sakata hii nafasi yake ni ipi hasa?
TAARIFA FUPI kutoka kwa Dorothy Gwajima,MB-WaziriGwajima alifanya nini kuhusu hili sakata?
Acha unafiki, wewe katika uwakili wako mbona unawatetea wahalifu ambao unajua fika wametenda jinai lakini unapambana kuitoa mahakama katika reli ili Wateja wako washinde kesi?TUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.
Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.
Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.
Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.
Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.
Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.
Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.
Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.
Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.
Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar
VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo
VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.
VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni
VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....
VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio
VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena
VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................
Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.
Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.
Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.
Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.
AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.
Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.
Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
Alidhamini pambanoBado hujanipa msaada ninao utafuta mkuu 'Magwangala'. "Shangazi Fetty" katika sakata hii nafasi yake ni ipi hasa?
Sana lo!
Upo sahihi 100% huko polisi hamna kitu, aliyemaliza kazi ni Dkt. Gwajima D apewe maua yake mama wa watuHoja imeungwa mkono, ila kwa taarifa yako IGP hastahili pongezi zozote.
Dr Gwajima ndio ameongea na masauni na Masaunindio amemuamuru IGP na IGP ndio akatangaza hivyo.
Tatizo umeathirika ubongo kwa chanjo feki huwezi kunielewa.Machizi nchi hii mmekuwa wengi mno nyakati hizi. Kuna umuhimu wa kuutafutia chanjo pia.
Hovyo kabisa.
Umengea yote kaka,nani aliwatuma? Huyo Ndo mtuhumiwa muhimu sana,huyo lazima apatikane ili liwe funzo na tayari hao wamepatikana lazima nae apatikane,wajiweke wazi haki itendekeTUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.
Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.
Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.
Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.
Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.
Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.
Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.
Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.
Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.
Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar
VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo
VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.
VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni
VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....
VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio
VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena
VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................
Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.
Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.
Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.
Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.
AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.
Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.
Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
Ushaathirika na chanjo, unaongea km umekatwa kichwaKama shujaa wenu, si mmfate?
Harafu wamepunguza makosa Kwa Ajili gani? Lazima Wapewe kifungo stahiki Ili kukomesha haya matukio yanayozidi kuongezaTUNAKUSHUKURU WAMBURA, LAKINI UPELELEZI/UCHUNGUZI URUDIWE.
Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.
Sina utaratibu wa kutoa pongezi kwa mtu anayetekeleza majukumu yake lakini IGP Wambura nikupongeze walau kwa hatua za haraka ulizomchukulia RPC wa Dodoma kwa kauli yake ya hovyo na ya shibe.
Nikupongeza pia kwa kusoma alama za nyakati, kwani usingefanya ulichofanya kwa THEOPISTA basi hichihicho kingefanyika kwako na huenda kufikia kesho mida kama hii ungekuwa tayari umekuwa balozi wa Tanzania nchini Vietnam.
Kwa uzoefu wangu kama Wakili jeshi la Polisi ndio wahifadhi wa ushahidi na vilelezo.
Wasiwasi wetu ni kama THEOPISTA anaweza kutoa kauli kama hii usalama wa vielelezo vya kesi hii vilivyo mikononi mwake kama mhifadhi ukoje.
Niseme tu kuwa uchunguzi wa tukio hili unatakiwa kurudiwa chini ya Kamanda mwingine. Huyu THEOPISTA tayari ameonesha upande wake katika hili.
Kauli yake inasadifu kile alichochunguza na hata bila kuisoma hiyo ripoti tunaweza kujua kuna nini kwenye ripoti kupitia maneno yake yenye kutia kichefuchefu na ukakasi mwingi.
Nukta nyingine ya muhimu sana ni hii. THEOPISTA anasema wale vijana hawakutumwa na mtu. Ni wazi THEOPISTA anamsaidia mtuhumiwa muhimu sana kukwepa mkono wa sheria katika hili tukio.
Sehemu ya mazungumzo kwenye video inasema hivi :-
.......................
VIJANA WAHALIFU: umetoka sehemu gani
BINTI: Dar
VIJANA WAHALIFU: Dar sehemu gani
BINTI: yombo
VIJANA WAHALIFU: yombo sehem gani .
BINTI: yombo dovya.
VIJANA WAHALIFU: dovya sehemu gani
BINTI : pale shuleni
VIJANA WAHALIFU: leo ume....au ume...
BINTI: Nime........na ku.....
VIJANA WAHALIFU: kwa kosa gani, la kutembea na mme wa mtu, sio.
BINTI : ndio
VIJANA WAHALIFU: muombe msamaha AFANDE.
BINTI🙁akiwa amelazimishwa kutizama kamera)afande nisamehe sirudii tena, naomba sirudii tena
VIJANA WAHALIFU: onesha Chu...kwa ushahidi
BINTI : (binti anaonesha)
.....................
Kwahiyo kwa mazungumzo haya na kwa weledi wa upelelezi wa jeshi letu pendwa la Polisi hakuna mtu mwingine
aliyekuwa anarejewa hapo au THEOPISTA na wenzake mnataka kutueleza nini.
Hivi ingekuwa ni watu wamemshambulia Waziri halafu wamejirekodi wakisema ILE KAZI ULIYOTUTUMA TUMEIMALIZA AFANDE na hao watu wakakamatwa na polisi wangeishia hapo wakasema hawakutumwa na mtu.
Haya ndo mambo ambayo huwatia doa jeshi la polisi. Haya ndo huwafanya mpoteze imani kwa watu. Haya ndo mambo huwafanya raia wasiwe karibu na nyie kuibua uhalifu. Haya ndo mambo hutufanya kuhoji weledi wenu.
Maneno yawe machache, hawa vijana walitumwa na AFANDE na walikuwa wakijirekodi ili kumthibitishia AFANDE kwamba kazi imefanyika vizuri na kwa ufanisi. Hii haihitaji mafunzo ya upelelezi.
AFANDE ni nani na kwanini analindwa kwa kiwango hiki. Ni lazima AFANDE aungenishwe kwenye hii kesi ili haki si tu itendeke, bali ionekane kuwa imetendeka.
Hatutakubali mpaka AFANDE aungenishwe kwenye kesi pamoja na vijana aliowatuma.
Kuna jambo hamjalijua kuhusu hii kesi. Hii kesi ni ya UMMA sio tena ya huyo muathirika. Msipokuwa makini itawaondoa wengi madarakani, tuache mzaha hili jambo sio jepesi kama mnavyofikiria.
Tunaye asipokamatwa afe na presha.Hoja imeungwa mkono, ila kwa taarifa yako IGP hastahili pongezi zozote.
Dr Gwajima ndio ameongea na masauni na Masaunindio amemuamuru IGP na IGP ndio akatangaza hivyo.
Kwa kesi hii upelelezi wala hauitaji zaidi ya masaa 24 ushahidi uko wazi.
Wanasema anayelindwa ni huyu.
View attachment 3074169
EEeeeenHEEeee!Alidhamini pambano
Alaa, kumbe siyo uchizi bali ni hizi bangi za uzeeni ndizo zime kuathiri akili? Chanjo ya hali hiyo itakuwa ni kupoteza wakati na mali. Wewe ni kuachwa tu uhangaike nazo mwenyewe.Tatizo umeathirika ubongo kwa chanjo feki huwezi kunielewa.
Kwa sasa wewe ni km kuku mwenye mdondo