Tunakushukuru Wambura, lakini upelelezi/uchunguzi urudiwe

Mimi simlaumu, wakati wa utawala dhalimu wa Kayafa ilikuwa lazima ukiwa serikalini uwe punguwani.

Hata nje ya Serikali kidume alikuwa Lisu peke yake na akamuita Dikteta uchwara majibu yake ndio kummiminia lisasi zisizo na idadi.
Ushasahau kuwa sugu kachezea kipindi juzi?
 
Hakuondoka na genge lake la wahuni.Waliobaki ndiyo hao wanateka na kulawiti.Laana kum!
Nyie ni wanafiki msio na haya,
Kikwete hamkumuita dikteta ila wakina mwangosi waliuwawa na kina Ulimboka kutolewa meno.
Mmeathirika na chanjo za mdondo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…