*Leo ni siku njema sana kwangu nimeenda kupima ukimwi kitu ambacho wengi wenu mnaogopa nimerudi na furaha tele baada ya kukuta hospitali imefungwa.![emoji23][emoji23][emoji23]*
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.