DOKEZO Tunalazimishwa kuacha kazi Shule Binafsi Tabora kisa tulifanya usaili ajira Serikalini

DOKEZO Tunalazimishwa kuacha kazi Shule Binafsi Tabora kisa tulifanya usaili ajira Serikalini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Mimi ni mwalimu niko Tabora, kwa sasa nafundisha Shule ya IPULI HOLY FAMILY PRE AND PRIMARY MISSION SCHOOL, baada ya ajira za Ualimu kutangazwa za Serikalini niliomba, nikapata nafasi ya kwenda kufanya usaili.

Baada ya kurejea manager wa shule yangu amekuwa akitushinikiza kuandika barua mimi na wenzangu ili kuachishwa kazi shuleni hapo.

Anafanya hivyo kwa Walimu wote ambao majina yao yalionekana katika wasailiwa wa ajira za Ualimu lakini sio, shuleni kwetu tu, hata St. Marry's Mihayo Secondary nao wenzetu huko wanafanyiwa haya na tayari wameachishwa kazii.

Kilio chetu hiki kifike kwa Mamlaka za Elimu Serikalini zitambue tunayipitia Walimu wa baadhi ya hizi shule binafsi, zinatunyanyasa sana.
 
Kwani mkataba wa kazi unasemajee mwalimuu🤔 hapo ulipo Kwa sasaa !!!

Pole mwalimu
 
Unaacha kazi Yako ya mkataba unaenda kujaribu mwingine
Haya siku ya interview watoto hawakusoma
 
Mimi ni mwalimu niko Tabora, kwa sasa nafundisha Shule ya IPULI HOLY FAMILY PRE AND PRIMARY MISSION SCHOOL, baada ya ajira za Ualimu kutangazwa za Serikalini niliomba, nikapata nafasi ya kwenda kufanya usaili.

Baada ya kurejea manager wa shule yangu amekuwa akitushinikiza kuandika barua mimi na wenzangu ili kuachishwa kazi shuleni hapo.

Anafanya hivyo kwa Walimu wote ambao majina yao yalionekana katika wasailiwa wa ajira za Ualimu lakini sio, shuleni kwetu tu, hata St. Marry's Mihayo Secondary nao wenzetu huko wanafanyiwa haya na tayari wameachishwa kazii.

Kilio chetu hiki kifike kwa Mamlaka za Elimu Serikalini zitambue tunayipitia Walimu wa baadhi ya hizi shule binafsi, zinatunyanyasa sana.
Na ukipata kazi unaondoka bila kuaga na kusababisha usumbufu mkubwa kwa mwajiri
 
Wanapata hizo guts kutokana na uwepo wa Tatizo la ajira. La sivyo wangeanzia wap? Rejea hali ya ajira Za waalimu before 2015 yaani 2014 Rudi nyuma.
 
Hapo tabora pana ushamba na rogo mbaya sana kuna vijana wa kada ya afya pia waliachishwa kazi na kuchukiwa na aliyekuwa boss wao kisa tu walienda interview za govt na kibarua kikaishia hapo,Watu wa tabora wana kaushamba na roho mbaya sana hasa hao wanaojiita wana hela
 
Hata ungekua wewe ndie mwenye Shule ungefanya kama huyo manager wa Shule alivyo agizwa na mwenye Shule...
Ukweli ni kwamba ukipata kazi serikalini huwez kungoja mkataba wako wa shule binafsi uishe, utaamua kuwakimbia na kwenda serikalini...
Ukipata nafasi ya kazi serikalini huwez hata kuaga na hakuna mamlaka itakayo kuhukumu kwa kuacha kazi private na kwenda government...
Hivyo basi mwenye Shule ana haki ya kuwafukuza tena hata hvyo bado anawaonea huruma ilitakiwa awe ameshawafukuza bila hata hizo barua...
 
Back
Top Bottom