SOFTWARE Tunalekebisha computer hata ukiwa nyumbani kwako kupitia internent!

SOFTWARE Tunalekebisha computer hata ukiwa nyumbani kwako kupitia internent!

buffaro89

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
592
Reaction score
378
ukiwa na internent yenye speed nzuri! tunaweza kufanya yafuatayo kwa gharama nafuu!

  1. installation za printer na vitu vingine
  2. naweza kuinstall program ambayo utaitaji
  3. hata kama utaitaji account packages na programs zinginezo.
  4. naweza kukuelekeza kufanya vitu mbalimbali kupitia internent.
  5. ukiwa uko kwako mafinga,mbagala,mbezi beach,marekani,uk nk. utapatiwa huduma kama kawaida,, within a minutes...
  6. lakini katika yote hayo internent ndio itatuunganisha!
whatsap yangu ndio hii kwa mawasiliano zaidi 0719909267
 
Siwezi kuamini ulichokiandika kama heading umekosea hivi. Hiyo internent ndiyo nini hasa..
 
Siwezi kuamini ulichokiandika kama heading umekosea hivi. Hiyo internent ndiyo nini hasa..
kwani wewe ujawai kukosea kitu tangu uzaliwe? au unataka kiki tuu mjomba!
 
Spika ya upande moja ya Laptop yangu kama vile inatoa sauti inayokwaruza/tetema kama spika iliyochanika kiwambo chake, je unaweza kurekebisha kwa mtandao?
 
Back
Top Bottom