Tunalizungumziaje kuibuka kwa Tuzo za EATV-AWARDS-2016

Tunalizungumziaje kuibuka kwa Tuzo za EATV-AWARDS-2016

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
Mchongo wa kijanja kwa sasa ni EATVAWARDS-2016.
Karibia hapo kesho na Eatv Chanel na Eatv Redio na kufuatilia categories zote ambazo zitakuwepo.
1471522255516.jpg

Kuwa karibu na TV yako sasa!!
 
za kilimanjaro zilifiaga wapi? wawe makini na double standards watu wapewe tuzo kwa haki zao sio mashabiki upepo *****
 
Clouds wamekubalije hii itokee kabla yao? Anyway nategemea fitna nyingi kwenye hili, unaweza kuja sikia fulani kabaniwa kisa kapokea tuzo fulani
 
Wamepata sponsorship ya Voda
Voda wanaweza amua weka 15mil kwa kila tuzi
 
Back
Top Bottom