Tunalizungumziaje kuibuka kwa Tuzo za EATV-AWARDS-2016

za kilimanjaro zilifiaga wapi? wawe makini na double standards watu wapewe tuzo kwa haki zao sio mashabiki upepo *****
 
Clouds wamekubalije hii itokee kabla yao? Anyway nategemea fitna nyingi kwenye hili, unaweza kuja sikia fulani kabaniwa kisa kapokea tuzo fulani
 
Wamepata sponsorship ya Voda
Voda wanaweza amua weka 15mil kwa kila tuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…