Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,262
- 1,773
Kwa wanafuatilia masumbwi mtakuwa mnamfahamu kwa uzuri kabisa Luis Ortiz aka King Kong. Ni bondia kutoka Cuba a naye fanya vizuri sana. Kwa muonekano aisee ni copy kabisa ya Mgunda.
Wafananishe hapa kwa picha
Wafananishe hapa kwa picha