Tunamkumbukaje Samatta?

Masulupwete

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
2,366
Reaction score
2,424
Aliyofanya huyu jamaa uenda ikachukua vizazi kadhaa kuyafikia. Ni muhimu kuweka na alama ya kudumu kama kumbukmbu yake.

Siku za nyuma wanamichezo waliopata mafanikio makubwa waliwekwa kwenye stempu kama heshima na kuthamini mchango yao, je kwa karne yetu hii tunaweka kumbukumbu gani ya kumkumbuka Samatta muda mrefu ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…