Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Nimekuwa nikifuatilia harambee ya kuchangia tuzo ya Mwalimu bora kutoka kituo cha television cha ITV na baaada ya muda nilijiuliza swali moja: JE MWALIMU BORA TANZANIA ANAPATIKANAJE? Swali hili limezingatia ule ukweli kamili kwamba ni vigumu kufanya ufuatiliaji (monitoring) wa nchi nzima.
Nawakilisha.
Nawakilisha.