Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
uko sahihi. mazingira ya ualimu nk ni ngumu sana kumpata mwalimu bora. ni tofauti na soka. ingawa vijijini kuna wachezaji wazuri zaidi ya hawa tunaowaona, ila wanakosa exposure n akuonekana. kwa nchi kama tz ambayo haina updates M&E data ni ngumu, tena especially kwa asasi binafis kuja kusema huyu ni mwalimu bora kuliko wote.
walimu bora unamjua wewe au unaongea tu? una muda mchafu wa kuchangia mambo ya kise##. nch so yako hii wewe, acha kuwa goigoi kiasi hicho. au kama vip kawe mwalimu bora wewe.
Hawa nadhani itakuwa rahisi kuwapata
walimu bora unamjua wewe au unaongea tu? una muda mchafu wa kuchangia mambo ya kise##. nch so yako hii wewe, acha kuwa goigoi kiasi hicho. au kama vip kawe mwalimu bora wewe.
Hivi kwa mazingira haya ya watoto 150 class moja, vitabu hamna, vifaa vya kujifunzia na kufundishia havipo mwanafunzi amekata tamaa mwalimu ndo usiseme utapata mwalimu bora? IDARA ya UKAGUZI is almost dead nani anaweza kumbaini mwalimu bora? Ni miaka Sasa walimu wa serikali hawaandai scheme wala lesson plan, mwalimu bora atoke wapi? Wangetafuta bora walimu tuko wengi saaaaaaana!
walimu bora unamjua wewe au unaongea tu? una muda mchafu wa kuchangia mambo ya kise##. nch so yako hii wewe, acha kuwa goigoi kiasi hicho. au kama vip kawe mwalimu bora wewe.
Nia ya ile Asasi ni njema ila naona mapungufu jinsi wanavyo tegemea kuendesha hili zoezi,hawakua wazi katika vigezo watavyotumia kupata Mwalimu Bora.Pia watu walioalikwa kwenye ile harambee walipwaya kama shuguli inahusu taifa zima!!