Tunampongeza Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan; Januari mpaka Disemba nchi iko salama

Tunampongeza Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan; Januari mpaka Disemba nchi iko salama

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
 
Huu ni mwaka wa Kikristo, Bwana wetu Yesu Kristo anafikisha miaka 2023 tangia alipokuja Duniani kutukomboa na kufia Msalabani kwa ajili yetu sisi, usisahau tu hilo unapoendelea kupongeza, hakuna Mwaka mpya bila ya Masia wetu Yesu Kristo!
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
Tunaingia mwaka wa kihistoria!

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
Taja nchi ambazo hazijamaliza 2022 zikiwa salama ili tuone upekee wa Rais wetu hata kuhitaji pongezi maalum.

Au utuambie pia utuambie miaka tuliyoimaliza kwa vita ili mwaka 2022 tuuone wa pekee, na tuweze kuona kazi kubwa ya Rais wetu iliyotufanye tofauti na miaka mingine, mwaka huu tuumalize salama.

Chawa, kuna wakati wanamfanya Rais asemwe vibaya. Na hawa chawa hawatumwi na Rais wala na yeyote bali na fikra na unafiki wao.
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
Michawa bana hata aibu haina,toka lini nchi yetu imekuwa mashakani?
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
Hakika kwa hili anastahili pongezi Mh. Rais
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
👍👍👍
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023

Wa kupongezwa ni wananchi siyo huyo maama
 
Taja nchi ambazo hazijamaliza 2022 zikiwa salama ili tuone upekee wa Rais wetu hata kuhitaji pongezi maalum.

Au utuambie pia utuambie miaka tuliyoimaliza kwa vita ili mwaka 2022 tuuone wa pekee, na tuweze kuona kazi kubwa ya Rais wetu iliyotufanye tofauti na miaka mingine, mwaka huu tuumalize salama.

Chawa, kuna wakati wanamfanya Rais asemwe vibaya. Na hawa chawa hawatumwi na Rais wala na yeyote bali na fikra na unafiki wao.
Ukraine
Ethiopia
Syria
Rohingya
Yemen
Afghanistan
Iran
N.k
 
Kongole mama Samia, bahari umeipita, mawimbi umeyamudu, January mpaka Disemba, katikati ya bahari ukiongoza taifa, ukipita mbele ya magwiji ya Dunia, ukilinda mipaka na heshima ya nchi.

Nani asiyejua urefu wa mwaka? Tuko salama vijijini kwetu, usalama na ulinzi kede kede, kwani ni juhudi za nani zaidi yako Amiri Jeshi?

January watoto wetu unaenda kuwapa elimu, madarasa tayari, kwani nani kachangishwa?
Asante SSH, Kila la kheri come 2023
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom