Tunamsifu Bernard Morrison, ila kwa 75% hana Msaada kwa Simba SC na ni Mzigo, lakini kwa 25% ndiyo huwa anatusaidia

Tunamsifu Bernard Morrison, ila kwa 75% hana Msaada kwa Simba SC na ni Mzigo, lakini kwa 25% ndiyo huwa anatusaidia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo (Mbinafsi)

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
 
Ungekuwa nwanamke ungeshafirigiswa sana
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo ( Mbinafsi )

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
We si Kuna thread humu ulikuwa unaiombea Simba ifungwe, sijui Nini na Nini!?
Aisee we dada una matatizo Sana,mmeo ana kazi kubwa,

Wewe sio Simba mwenzetu,bakia hukohuko utopoloni,acha kuleta unafiki wako
 
We si Kuna thread humu ulikuwa unaiombea Simba ifungwe, sijui Nini na Nini!?
Aisee we dada una matatizo Sana,mmeo ana kazi kubwa,

Wewe sio Simba mwenzetu,bakia hukohuko utopoloni,acha kuleta unafiki wako
Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe hapa Jamvini na duniani ndiye ulibakia kwa kutokujua kuwa GENTAMYCINE ni Simba SC na Simba SC ni GENTAMYCINE.
 
Ni Mpumbavu tu pekee kama Wewe hapa Jamvini na duniani ndiye ulibakia kwa kutokujua kuwa GENTAMYCINE ni Simba SC na Simba SC ni GENTAMYCINE.
Hapana, wewe sio Simba, labda umeipenda simba ukubwani, maana ule Uzi wako ulitoa Sana shiti kwa Club mzee baba,

Yote kheri kikubwa tuiombee club ifanye vizuri,

Hila ushabiki wa hizi timu kubwa mbaya Sana, Kuna game hile tuliyocheza na wale jamaa wa nje wakatufunga (club bingwa), aisee nilitoka kwenye kibanda umiza kabla mpira haujaisha halafu nikawa naona Giza mbele!
Na nilijiapiza sitoifatilia tena Simba, Cha ajabu nishasahau!
 
We si Kuna thread humu ulikuwa unaiombea Simba ifungwe, sijui Nini na Nini!?
Aisee we dada una matatizo Sana,mmeo ana kazi kubwa,

Wewe sio Simba mwenzetu,bakia hukohuko utopoloni,acha kuleta unafiki wako
[emoji2][emoji2][emoji2] kumbe mkuu uyu n dada[emoji2][emoji2]
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo ( Mbinafsi )

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
Hivyo hivyo alivyo tunampenda tu. Na tunataka aongeze madoidi ili azidi kuwakela vyura. Tumemwajili si kwa ubora wa mpira bali kuikela utopolo.
 
Plan ya kocha Jana haikua ya kushambulia muda wote,ilikua kushambulia kwa kushtukiza
 
Kweli mkuu nakubaliana na wewe 100%! Kuna kitu na mimi nimekigundua kwa Morrison, mchezaji huyo kuna siku anaamka vizuri na siku nyingine anaamka vibaya! Sasa shida kubwa ni kwamba siku anazoamka vibaya ni nyingi kuliko siku anazoamka vizuri na hii ni mzigo kwa club kwani unaweza kumtegemea katika mchezo muhimu lakini akafanya kitu tofauti kabisa!
 
1. Hakabi akipoteza

2. Anajiona Messi tayari

3. Ana Dharau zilizopitiliza za Mpira

4. Mchoyo ( Mbinafsi )

5. Anaharibu Mashambulizi ya Tija

6. Amejipa Mamlaka asiyoyaweza

7. Utoto na Upuuzi vimeshamzoea

Klabu iache Kumdekeza na Benchi la la Ufundi limwambie Klabu ( Simba SC ) Kwanza na Umaarufu wake baadae.

Kujua kupiga Chenga sana, Kufunga Magoli na Kuupandia juu Mpira na Kuonyesha Mbwembwe na Mikogo mingi Uwanjani hakutoshi Kuuonyesja Umuhimu na Umahiri wa Mchezaji katika kuiletea Timu Maendeleo.

Ukiona mpaka GENTAMYCINE nimekuja na hili ( na hii Critical and Technical Observation yangu ) juu ya huyu Mchezaji Bernard Morrison jua ( jueni ) ana tatizo au kuna tatizo mahala.

Wewe DJ maarufu wa Kike EFM Radio sasa umehamia Wasafi FM ( sikutaji nakulinda ) tafadhali ukiwa nae huyu Bernard Morrison kule Kwako Mbezi Beach kwa Maua ( unapita Nyumba ya Mbunge ) mnakula 'raha' zenu huku mkipita katika IST yako mkiwa Mmeshika Pombe Kali na mnacheza ndani ya Gari uwe unaturekebishia basi tabia huyu 'Shemela' Wetu tokea nchini Ghana.

Ninampenda mno BM, ila abadilike sasa.
Mtani, umesema ukweli
 
Back
Top Bottom