Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Nimekuelewa mkuu hasa hapo mwisho
 
Kwa wanachoimba bila wale watangazaji wa xxl sijui wangekuwa wapi sasa hivi hwa jamaa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti”Nikiona kibinda mi nadinda nakitia mimba”ahahaaahaahhaahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama kubadilika si kwa ujinga huo.Ptuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…