Tunamtaka lichi mavoko wa pacha wangu siyo huyu wa ngedere

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,109
Reaction score
5,284
Aman itamalaki

Mavoko umeshuka sana kimziki haukiki wala hausikiki kabisa nyota yako imefifia na huna tena ngoma kali

Sitaki kuhusisha na kuondoka kwako wasafi na kushuka kwako

No ila tu umeshuka sana

Sisi kama mashabiki tunamtaka rich mavoko wa mwanzo achana na huyu mzugaji mzugaji

Badilika mwanangu bado mashabiki zako tunakupenda japo kwa sasa hatukuelewi


Mayala B
 
Mkuu,lich mavoko ndiye Rich Mavoko?
 
Reactions: rr4
Write your reply...
kumbe mavoko ana ngoma inaitwa "ngedere"??

sikujua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…