mwagavumbi 11
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,254
- 44
niukweli usiopingika kwamba prif.anna tibaijuka ni mkweli mchapakazi asiyeyumbishwa msomi mpenda maendeleo mwenye hofu ya mungu anayejali masikini vilema albino watoto yatima mwe.ye kuguswa .a homa za watanzania na asnaemsikiliza kila mwananchi.
prof.anna tibaijuka kamalizia kero za wananchi kwa kuanza kubomoa mahekaru ya kifahari fukwe za baharini bila kujali uswahiba ili kuacha maeneo ya wazi yabaki kuwa ya wananchi .jambo hilo halijawahi tokea tanzania.
prof.tibaijuka ni mwanamke wa kwanza barani afrika kuchaguliwa na bara kuu la umoja wa mataifa .a kuiongoza moja ta taasisi zake duniani.
kiufupo watanzania tunamuitaji kiongozi kama huyo kuiongoza tanzania ili tuondokane na umasikini.
nawasilisha ndg.zanguyi
prof.anna tibaijuka kamalizia kero za wananchi kwa kuanza kubomoa mahekaru ya kifahari fukwe za baharini bila kujali uswahiba ili kuacha maeneo ya wazi yabaki kuwa ya wananchi .jambo hilo halijawahi tokea tanzania.
prof.tibaijuka ni mwanamke wa kwanza barani afrika kuchaguliwa na bara kuu la umoja wa mataifa .a kuiongoza moja ta taasisi zake duniani.
kiufupo watanzania tunamuitaji kiongozi kama huyo kuiongoza tanzania ili tuondokane na umasikini.
nawasilisha ndg.zanguyi