Ndesa ebu make use of the Chopper pls kwanza KIA ndege Nyingi tuu jamani nendeni mkatie hamasa pale na mumpe moyo dada yetu Mdee wasije mnyongea baharini
Hii tume imejaza Vilaza wasiojua mahesabu ndo maana Kikwete alitamba kwamba huenda jamaa wanageuza digits.Haya mambo si unaingiza ktk excell sheet unapata total wakishakubali mnatia sahihi then mambo ya kuscan watafanya baadae?Ni mbinu chafu za CCM ndo maana wanafanya hivyo. Hukumu yao inakuja kwani watanzania wameonyesha kwamba wao sio mbumbu tena.
Chadema ni chama kilichojipanga, napenda kusisitiza hakuna haki ya CHADEMA itayoporwa na CCM kawe. Wamejifunza kutoka Kenya. Hata akija Mbowe bado Halima Mdee atashinda tu. Kila kitu kinachoendelea Chadema inakifahamu. Subili ujio wa Dr.Slaa hadharani.
Mbona watu wanatoa taarifa ambazo si za kweli. hii siyo sawa. Mara halima Mdee kashinda ghalfla tena kashindwa, mara Mpendazoe kashinda te na comfermed mara bado! mbona tunachnganyana aesee.
mimi hizi habari zinazobadilika badilika zinaniumiza tumbo.kama hamna ushahidi na matokeo basi wacheni tusubiri tume watangaze.
uhakika mdee ndio mbunge wa jimbo langu.
wana nazani TUME wawe wanakagua VYETI VYA wanaojumlisha kura,SABABU WENGI INAVYOELEKEA HAWAJUI HESABU RAHISI ZA KUJUMLISHA NA KUTOA,mpaka nnavyoongea maeneo mengi matokeo hayajatoka kisa BADO WANAHESABU KURA.shame:israel: