Tunamwitaje mtu ambaye hana uwezo wa kunusa

Joined
Oct 22, 2013
Posts
38
Reaction score
0
Naombeni msaada wenu, mara nyingi tumekuwa tukishuhudia na kuwaona watu wenye matatizo ya:-
Kuona > tunawaita vipofu,
Kusikia > tunawaita viziwi,
Kusema > tunawaita mabubu,
Sasa hawa watu ambao hawawezi kuhisi harufu yeyote ile (pua zao hazina uwezo wa kunusa) tunawaitaje?
 
Usahihi: hatuhisi harufu Bali tunanusa harufu. Ni kazi ya pia kunusa, ngozi kuhisi. Kuhusu swali lako, sina jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…