kindili kindili
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 242
- 54
Najua kabisa kama mimi watakuwepo wengi tu, tunaohangaika kwenda kujaribu life nje ya nchi.
Katika pita pita zangu nmekutana na makampuni yanayosaidia kupata scholaship(Moja kati ya njia ya kwenda huko) kama zifuatazo:
Bero Tanzania hawa wanakusaidia kupata scholaship China na bei zao sio mbaya sana.
Elimu solution: wametaja nchi wanazosaidia kwa website yao
Global Link: hawa wanakusaidia admission na travel arrangements
EBC study abroad: hawa wana nchi za ulaya na America(Wao wanakusaidia kupata sholaship)
Tutajieni zingne mnazojua au pia namna nyingne za kufika huko, ikibidi mtusaidie. Mimi binafsi yangu natamani kwenda Canada, kusoma au kufanya kazi na badae kurudi nyumbani Mungu akitupa uzima.
Natanguliza shukrani.
Katika pita pita zangu nmekutana na makampuni yanayosaidia kupata scholaship(Moja kati ya njia ya kwenda huko) kama zifuatazo:
Bero Tanzania hawa wanakusaidia kupata scholaship China na bei zao sio mbaya sana.
Elimu solution: wametaja nchi wanazosaidia kwa website yao
Global Link: hawa wanakusaidia admission na travel arrangements
EBC study abroad: hawa wana nchi za ulaya na America(Wao wanakusaidia kupata sholaship)
Tutajieni zingne mnazojua au pia namna nyingne za kufika huko, ikibidi mtusaidie. Mimi binafsi yangu natamani kwenda Canada, kusoma au kufanya kazi na badae kurudi nyumbani Mungu akitupa uzima.
Natanguliza shukrani.