Tunaokula bata awamu ya Rais Magufuli na Mafanikio tuliyoyapata

Tunaokula bata awamu ya Rais Magufuli na Mafanikio tuliyoyapata

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi,

Ni jambo lisilopingika watu ambao tunafurahi na kucheka kimaisha wakati wa JPM tupo wengi sana sana humu jamvini

Gharama za maisha zimeshuka sana. Leo hii kila kitu bei rahisi kuanzia chakula,Viwanja mpaka nyumba zinauzwa bei rahisi sana. Wakati wa Kikwete bei zilikuwa juu sana kutokana na mafisadi kushikilia uchumi hewa usio na mizizi

Gharama za kusomesha watoto zimeshuka sana. Leo shule binafsi unaweza kaa nao kuongea ada utalipa wakati gani na zimekuwa ni ada zinazoendana na vipato vya watu wengi sana. Mafisadi walijenga shule za academy uchwara kwa lengo la kuumiza wananchi wakati wa JK

Turudi kwenye kichwa cha uzi

Mimi binafsi nimebahatika kutembea nchi za nje zaidi ya 30 wakati huu wa JPM na hii imetokana na serikali kudhibiti mapato na kusimamia matumizi kwa miaka mitano. Kwa miaka kumi ya JK nilisafiri nchi 10 tu

Kipindi hiki cha JPM nimeweza kuwa na muda wa kutosha kuongea na familia yangu zaidi ukilinganisha na awamu iliyopita muda mwingi nilishinda kwa madalali na mafisadi kuweka mambo yangu sawa. Maofisa wa serikali wengi ilikuwa mpaka utoe rushwa ili mambo yako yakae sawa lakini JPM amejenga heshima

Kuna mambo mengi kwa watu smart ambayo JPM ameyafanya kwa Taifa hili.

Wezi, mafisadi na wapiga dili ndio walioumia. Sisi wa kuheshimu utu na haki JPM ni shujaa
 
Kuna malalamiko huko kwà Watumishi kuhusu uhamisho bila laki6 uhamisho haupitishwi TAMISEMI sijui linaukweli..maana unasisitiza nidhamu na rushwa vimeisha kwa wtendaji wa Serikali.

Ila mahospitalini ukifika mgonjwa unapokelewa kwa bashasha halafu haupati matibabu unakufa kwa amani..imetokea kwà mtu wangu wa Karibu mnoo..Lakini JPM kaweza ni ubishi tu wa watuu..[emoji3][emoji3]
 
Nakuunga mkono kwa asilimia 100. Mimi binafsi kwa figisu nilizofanyiwa na mafisadi. Kama si huu uongozi wa Magufuli ningeonewa Sana.

Uongozi wa Sasa hata Kama umedhulumiwa haki yako unarudishiwa. Yaaani Magufuli amegusa maisha yetu watu wengi Sana. Magufuli ni mwanaume na nusu. Forever will be teammagufuli100%
 
Watu walidhulumiwa sana nyumba na viwanja.. yaani mtu anakufata tu na pesa zake anakuambia nakupa kiasi hiki uachie kama hutaki utatoka na hupati hata senti..
 
Kuna watu hivi wa upande fulani watakuwa matajiri sana
 
Unajitekenya, ni bidhaa gani imeshuka bei, unajua bei ya sukari, unga, mchele na hata tu kiberiti kwa sasa!! Unajua unit ya umeme kwa sasa unaipata kwa tsh ngapi hata hata maji tu then do comparison na ilivyokuwa 2015 kurudi nyuma...

Wewe binafsi umeongeza nn katika pato lako kwa sasa. Usijidanganye kwa kuhadaika na kelele za akina Polepole, hali ya maisha kiujumla imeenda mrama kwa waTZ walio wengi
 
Kuna malalamiko huko kwà Watumishi kuhusu uhamisho bila laki6 uhamisho haupitishwi TAMISEMI sijui linaukweli..maana unasisitiza nidhamu na rushwa vimeisha kwa wtendaji wa Serikali. Ila mahospitalini ukifika mgonjwa unapokelewa kwa bashasha halafu haupati matibabu unakufa kwa amani..imetokea kwà mtu wangu wa Karibu mnoo..Lakini JPM kaweza ni ubishi tu wa watuu..[emoji3][emoji3]
Siyo kweli ni uzushi tu, Mimi nimehama kutoka Mara kuja Mwanza nimeripoti tarehe 5/8/2020 nyumba nimepata sehemu panaitwa ISANGIJO watumishi house kwa bei nzuri tu.
 
Nakuunga mkono kwa asilimia 100. Mimi binafsi kwa figisu nilizofanyiwa na mafisadi, Kama si huu uongozi wa Magu ningeonewa Sana. Uongozi wa Sasa hata Kama umedhulumiwa haki yako unarudishiwa. Yaaani Magufuli amegusa maisha yetu watu wengi Sana. Magu ni mwanaume na nusu. Forever will be teammagufuli100%
Pesa ya korosho kila siku ni sound, hivi wale wa beareu De change mpunga wao walirudishiwa?
 
Bashite the king yupo sawa!! Hana shida hata moja in next 20 to 30 yrs!!
 
Ahaa mkuu ila kuna kaukweli fulani hivi

Unakumbuka ule usemi,Mimi ni nani?
Naongea na,,,,,,, siongei na .....

Kuna watu wakati wa JK Bwana walitutisha sana

Kuna heshima fulani sasa
Walikutisha wewe
 
Unajitekenya, ni bidhaa gani imeshuka bei, unajua bei ya sukari, unga, mchele na hata tu kiberiti kwa sasa!! Unajua unit ya umeme kwa sasa unaipata kwa tsh ngapi hata hata maji tu then do comparison na ilivyokuwa 2015 kurudi nyuma...

Wewe binafsi umeongeza nn katika pato lako kwa sasa. Usijidanganye kwa kuhadaika na kelele za akina polepole, hali ya maisha kiujumla imeenda mrama kwa waTZ walio wengi
Wewe unataja bidhaa za kuongeza unene na vitambi tu

Eti bei ya sukari .....matumbo
Bei ya mchele ..... wanga matumbo
 
Kuna malalamiko huko kwà Watumishi kuhusu uhamisho bila laki6 uhamisho haupitishwi TAMISEMI sijui linaukweli..maana unasisitiza nidhamu na rushwa vimeisha kwa wtendaji wa Serikali.

Ila mahospitalini ukifika mgonjwa unapokelewa kwa bashasha halafu haupati matibabu unakufa kwa amani..imetokea kwà mtu wangu wa Karibu mnoo..Lakini JPM kaweza ni ubishi tu wa watuu..[emoji3][emoji3]
Vipi anasemaje juu ya TANESCO kuendeleza ukritimba wao wa mpaka utoe chochote ndipo ufungiwe umeme. Nimezngushwa miez 6.

Vip TRA kubambika kodi kubwa kuliko maingizo.Wajasliamali kupunguziwa mtaji wao kwa kutakiwa kulipia 20k na bado hiyo 20 hairudi katk mazngira yao kuyaboresha.

Watendaj wa vijij(sijui wa mijin kupoje) kuendelea kuomba kitu kidogo na kujitungia by laws zao wenyewe.

Vp mahakama mwenye pesa ndo mshindi wa shauri.

Askari kupokea elf 5 et ni kubrash viatu,kweli pesa yetu sh. elf 5 niyakubrashia viatu?
 
Watu walidhulumiwa sana nyumba na viwanja.. yaani mtu anakufata tu na pesa zake anakuambia nakupa kiasi hiki uachie kama hutaki utatoka na hupati hata senti..
Yani watu walionewa kinyama. Yaani[emoji24][emoji24][emoji24], Ila saivi hizo Mambo hamnaga
 
Pesa ya korosho kila siku ni sound, hivi wale wa beareu De change mpunga wao walirudishiwa?
Watu walikuwa wanatakatisha pesa kwa kisingizio Cha bureau de change, wanachunguzwa, wale kwanza ndo walkua Wana mahela na wanatesa watu mitaaani, wale ndo walkua wanatoa mahela ya ribs na kuumiza wananchi
 
Inaonekana mnaokula bata wakati wa uongozi wa magufuli mko wachache sana maana uzi umekosea wachangiaji wengi.
 
Unajitekenya, ni bidhaa gani imeshuka bei, unajua bei ya sukari, unga, mchele na hata tu kiberiti kwa sasa!! Unajua unit ya umeme kwa sasa unaipata kwa tsh ngapi hata hata maji tu then do comparison na ilivyokuwa 2015 kurudi nyuma...

Wewe binafsi umeongeza nn katika pato lako kwa sasa. Usijidanganye kwa kuhadaika na kelele za akina Polepole, hali ya maisha kiujumla imeenda mrama kwa waTZ walio wengi
Tusnze tu na bia awamu ya NNE ikuwa 2500, sasa hivi ni 1500. Bisha sasa
 
Vipi anasemaje juu ya TANESCO kuendeleza ukritimba wao wa mpaka utoe chochote ndipo ufungiwe umeme. Nimezngushwa miez 6.

Vip TRA kubambika kodi kubwa kuliko maingizo.Wajasliamali kupunguziwa mtaji wao kwa kutakiwa kulipia 20k na bado hiyo 20 hairudi katk mazngira yao kuyaboresha.

Watendaj wa vijij(sijui wa mijin kupoje) kuendelea kuomba kitu kidogo na kujitungia by laws zao wenyewe.

Vp mahakama mwenye pesa ndo mshindi wa shauri.

Askari kupokea elf 5 et ni kubrash viatu,kweli pesa yetu sh. elf 5 niyakubrashia viatu?
Hayo yote uliosema emshatipoti takukuru?
 
Siyo kweli ni uzushi tu, Mimi nimehama kutoka Mara kuja Mwanza nimeripoti tarehe 5/8/2020 nyumba nimepata sehemu panaitwa ISANGIJO watumishi house kwa bei nzuri tu.
Isangijo ndo wapi?sema isamilo na bei poa ndo bei gani?
 
Back
Top Bottom