Rejea kwenye kichwa cha Uzi hapo juu.
Binafsi nimekuwa nikipata usumbufu sana kutoka kwa haya Makampuni ya mitandao ya simu kwa kutumiwa SMS za kipumbavu.
Kutwa napokea SMS za;
Vodacom Ofa
Boom pesa
Pesa ni mpesa
Tigo SMS
Magic
15670 SOKA
Na nyingine nyingi ambazo sizikumbuki kichwani. Hii kwangu imekuwa ikineletea usumbufu mkubwa sana.
Mimi kama mteja wa Makampuni ya simu nina Haki ya kukubali au kukataa kutumiwa hizo SMS za Promos.
Simu yangu sio bango la matangazo ya biashara. Simu yangu ni kwa matumizi yangu binafsi. Nikitaka huduma za ziada nitafika katika Ofisi husika na kuomba maelekezo ya zaidi.
Wito kwa TCRA kuna Watanzania tumevimbewa na hizi tabia za haya Makampuni ya simu. Kwa niaba naomba mlitafakari na kuliangalia kwa kina hili suala la wateja kutumiwa SMS za Kipumbavu na Kusababisha usumbufu mkubwa.
Binafsi nimekuwa nikipata usumbufu sana kutoka kwa haya Makampuni ya mitandao ya simu kwa kutumiwa SMS za kipumbavu.
Kutwa napokea SMS za;
Vodacom Ofa
Boom pesa
Pesa ni mpesa
Tigo SMS
Magic
15670 SOKA
Na nyingine nyingi ambazo sizikumbuki kichwani. Hii kwangu imekuwa ikineletea usumbufu mkubwa sana.
Mimi kama mteja wa Makampuni ya simu nina Haki ya kukubali au kukataa kutumiwa hizo SMS za Promos.
Simu yangu sio bango la matangazo ya biashara. Simu yangu ni kwa matumizi yangu binafsi. Nikitaka huduma za ziada nitafika katika Ofisi husika na kuomba maelekezo ya zaidi.
Wito kwa TCRA kuna Watanzania tumevimbewa na hizi tabia za haya Makampuni ya simu. Kwa niaba naomba mlitafakari na kuliangalia kwa kina hili suala la wateja kutumiwa SMS za Kipumbavu na Kusababisha usumbufu mkubwa.