mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hili suala nafikiri unatakiwa tupatikane wadau kwa wingi ili tuangalie njia muafaka kisheria ya kuwawajibisha hawa makabaila mkuu. Inakera sana.Mimi nilishawapigia sana tigo.mixer kuwatukana lakini wapiii.
Nimeamua kukaa kimya.kuna wakati upo na bize na mambo yako.inaingiza meseji kumbe promosheni ya kubet.inakera sanaa.
TCRA msaada tafadhari.
Yaani simu inajaa mimeseji yao tuuu.
hahahhahaha nikweliAfadhali hatotel,tigo ndo pasua kichwa. Ikitokea umetuma SMS huku ukiwa hujui kama bando limeisha utatumiwa SMS za salio halitoshi kama hamsini hivi kwa mkupuo[emoji4] [emoji4]
Nilidhani niko mwenyewe hao boompesa. Cha ajabu wanatuma kwenye line ya tigo sijaona wakinitumia kwenye voda au airtel.Na dk 70, za boom pesa ndio sizipendi
Tatizo la hii app inataka mpaka uifanye ndiyo iwe default sms app. Hapo tu ndo wananikeraDownload App inaitwa True caller inablock matangazo ya kampuni za simu, yaani tangazo likiingia kwa mara ya kwanza mfano toka tigo bima, ukiliblock hutaliona tena, likija linaingia mojakwamoja kwenye dustbin hulioni hadi siku utembelee huko kwenye blocked sms hii ni baada ya kuifanya true caller kuwa default Sms app. App hii pia inakuwezesha kuonesha jina la akupigiaye au kutuma sms hata kama ni namba ngeni
ongezea na sms za magic hahahaa me nachukiaga halaf najikuta sina namnaNilidhani niko mwenyewe hao boompesa. Cha ajabu wanatuma kwenye line ya tigo sijaona wakinitumia kwenye voda au airtel.
How?Mi uwa naziblok