Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Hayo ya comment kuna mtu anaitww Makaveli. Mwandiko wake kule jukwaa pendwa unaweza ukajikuta umeloana jamani yaani anavyoelezea mwee mwee mwee. Sema ninao taka kuwatongoza nikipata mistari ntawaibukia
 
Zote zilee. Sio ile moja tu.
Ila fanya mambo unitumie moja kwenye meseji ambayo haifai kuwekwa kwenye public ili nichanganyikiwe zaidi.
Nikutumie moja wapi huko? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uwiiii ndo maana nimeona tofauti ya vidole,ushamba mbaya sana jaman.vile vya grants vipo kama mishikio ya majeneza na hivi vya pili vipo kama vya miguuni.kwa ujumla wenu,vidole vyenu mkivikusanya kwa pamoja mnavunja nazi bila tabu.
Hahahahahaja hivi wakati unaandika hii comment ulikuwa unapukiza cha wap mkuu,hapa nilipo sina mbavu kwa kicheko
 
Hahaha .
Mimi sijawahi kutongozwa Pm ila atakayethubutu bampiga na laki kwanza hata kabla ya maongezi mengine.
Manake hapo papuchi ni ya uhakika ipo mezani pesa makaratasi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] . Nakuja kukutongoza fanya mambo kabisa kwenye mpesa. Maana najua tongozo ntakalokupa hutanikataa
 
Unanikataa kiaina sio! acha roho mbaya 'fundi' wangu
 
Hayo ya comment kuna mtu anaitww Makaveli. Mwandiko wake kule jukwaa pendwa unaweza ukajikuta umeloana jamani yaani anavyoelezea mwee mwee mwee. Sema ninao taka kuwatongoza nikipata mistari ntawaibukia
Ukilowa mitafutege bas na wewe.
Tunaishi karibu karibu tu ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…