Tunaolisifia ' Embe ' la Mtwara kuwa ' Gumu ' leo kwa ' Jiwe ' la Geita tuwekeni akiba ya maneno pale nalo likiamua kukubali ' Kumenyeka ' Kiulaini tu

Tunaolisifia ' Embe ' la Mtwara kuwa ' Gumu ' leo kwa ' Jiwe ' la Geita tuwekeni akiba ya maneno pale nalo likiamua kukubali ' Kumenyeka ' Kiulaini tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni ukweli usiopingika kabisa kuwa kama kuna Matunda matamu lakini ni Magumu kuyala kama usipokuwa Imara ni ' Maembe ' ya kutoka Mkoani Mtwara. Ila pia hakuna Mkoa ambao una Mawe magumu na hatari tena yaliyo na Ncha Kali ambayo inaweza Kufanya Embe la Mtwara ' limenyeke ' lenyewe Kiulaini kama yale ya Mkoani Geita.

Ila nimesikia Watanzania wanayasifia mno ' Maembe ' ya Mkoani Mtwara wakisema kuwa hata yakidondoka katika ' Mawe ' yenye Ncha Kali ya Mkoani Geita kamwe hayawezi ' Kumenyeka ' kiurahisi. Mwaka huu huu kabla ya Mwezi Oktoba au baada ya Mwezi Oktoba na ikichelewa sana basi Mwakani nitayabeba Maembe ya Mtwara nikayapambanishe na Mawe Makali ya Mkoani Geita.

Lakini kwa Uzoefu wangu mkubwa wa hasa ' Jiwe ' moja Kubwa hivi lilipo Mkoani Geita nina uhakika wa tena 100% kuwa haya ' Maembe ' yanayosifika kwa kuwa Magumu ( na Ugumu ) nikiyamenyea tu katika hilo Jiwe hayatanisumbua na nitayala vizuri tu na huenda hata Wakulima wa Maembe wa Mkoani Mtwara nao sasa wahamia rasmi Geita, kuomba Hifadhi na kuwa Wakulima huko.
 
Mkuu unazungumzia maembe mabichi au yaliyoiva? Je hilo jiwe ni la mwamba au kokoto?
 
Mkuu unazungumzia maembe mabichi au yaliyoiva? Je hilo jiwe ni la mwamba au kokoto?
Anazungumzia Membe na Magufuli huwa ameajiliwa pale Mbagala kwenye kiwanda cha kutengeneza kanga yeye ndio muwekaji/mundikaji maneno kwenye kanga
 
Mtwara na Lindi ina tofauti gani na Kusema Kuku na Jogoo? Mimi nalizungumzia ' Embe ' la Mtwara hilo lako la Mkoani Lindi Mimi silijui tafadhali.
Mkuu kama ni embe la Mtwara naungana nawe .... ila hata Lindi hakuna laini laini.. ukizingatia ni wabobevu kwenye tasnia pia ni exsemirians.
 
Anazungumzia membe na maguguri huwa ameajiliwa pale mbagara kwenye kiwanda cha kutengeneza kanga yeye ndio muwekaji/mundikaji maneno kwenye kanga
😃😃
 
slow slow anasemaje kuhusu hili?
 
Sijawahi ona mwamba wa udongo ukishindikana kuchimbika mbele ya sururu
Huo mwamba wenyewe mnaousifia ni mwamba ule laini wa kukwangua tu na vidole sasa sijui kama embe litaelewa kitu wala kulika hata kwa ndimu
 
Kwa jinsi mnavyomsifu na kumuabudu mfalme wa Mataga nibora mgepewa udc ili mpoze machungu.
 
Anazungumzia Membe na Magufuli huwa ameajiliwa pale Mbagala kwenye kiwanda cha kutengeneza kanga yeye ndio muwekaji/mundikaji maneno kwenye kanga
Aise[emoji28][emoji124][emoji124]
 
Ni ukweli usiopingika kabisa kuwa kama kuna Matunda matamu lakini ni Magumu kuyala kama usipokuwa Imara ni ' Maembe ' ya kutoka Mkoani Mtwara. Ila pia hakuna Mkoa ambao una Mawe magumu na hatari tena yaliyo na Ncha Kali ambayo inaweza Kufanya Embe la Mtwara ' limenyeke ' lenyewe Kiulaini kama yale ya Mkoani Geita.

Ila nimesikia Watanzania wanayasifia mno ' Maembe ' ya Mkoani Mtwara wakisema kuwa hata yakidondoka katika ' Mawe ' yenye Ncha Kali ya Mkoani Geita kamwe hayawezi ' Kumenyeka ' kiurahisi. Mwaka huu huu kabla ya Mwezi Oktoba au baada ya Mwezi Oktoba na ikichelewa sana basi Mwakani nitayabeba Maembe ya Mtwara nikayapambanishe na Mawe Makali ya Mkoani Geita.

Lakini kwa Uzoefu wangu mkubwa wa hasa ' Jiwe ' moja Kubwa hivi lilipo Mkoani Geita nina uhakika wa tena 100% kuwa haya ' Maembe ' yanayosifika kwa kuwa Magumu ( na Ugumu ) nikiyamenyea tu katika hilo Jiwe hayatanisumbua na nitayala vizuri tu na huenda hata Wakulima wa Maembe wa Mkoani Mtwara nao sasa wahamia rasmi Geita, kuomba Hifadhi na kuwa Wakulima huko.
Nilidhani ni maembe ya lindi, ila hata mtwara sio mbaya!
 
Mwanzoni kila mtu wa ule mtaa alisikika kuwa kitu cha Chuga ni balaa, wakapiga pafu kama 50 ila bado kitu hakiingii kichwani. Ghafla wamehia kwenye maembe wakiamini maembe hayo sasa ni full vitamin, kwa nijuacho maembe ya kusini hasa lindi na mtwara yaliisha uimara mwaka 2005...ya sasa haswa ya 2020 ukilidondosha hata futi mbili toka ardhini linapasuka.
 
Back
Top Bottom