Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnaombwa kulipwa, subirini kwanza Serikali haina pesa kwa sasa subirini tuzue tozo nyingine ndo tuwafikirieSisi watumishi wa serikali ambao tunadai malimbikizo ya mishahara ya nyuma(salary arreas) TUNAOMBA KULIPWA.
Naomba kuwasilisha kwa serikali.
Sisi watumishi wa serikali ambao tunadai malimbikizo ya mishahara ya nyuma(salary arreas) TUNAOMBA KULIPWA.
Naomba kuwasilisha kwa serikali.