Gloriamagret
Member
- Jun 12, 2023
- 47
- 155
Tunaomba mrejesho kuhusu ujenzi wa barabara za kata ya kitunda kama tulivyoahidiwa kutoka Banana kwenda Kitunda, Magole, Kivule, Hospitali ya wilaya kivule, Magole, Mwanagati, Msongola nk.
Tuliahidiwa ujenzi wa barabara hizo kujengwa kwa kiwango cha lami kwa mfuko wa DMDP awamu ya pili.
Mwenye taarifa atujuze ujenzi unaanza lini? Tenda inatangazwa lini? Nini kinaendelea kwa sasa nk.
Tunaomba kupewa mrejesho
Raia Mwama.
Tuliahidiwa ujenzi wa barabara hizo kujengwa kwa kiwango cha lami kwa mfuko wa DMDP awamu ya pili.
Mwenye taarifa atujuze ujenzi unaanza lini? Tenda inatangazwa lini? Nini kinaendelea kwa sasa nk.
Tunaomba kupewa mrejesho
Raia Mwama.