Tunaomba Polisi watujulishe kuhusu upelelezi wao juu ya wale waliomnywesha sumu Mzee Mangula

Tunaomba Polisi watujulishe kuhusu upelelezi wao juu ya wale waliomnywesha sumu Mzee Mangula

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula.

Katika taarifa yake hiyo alitutueleza kuwa Mzee Mangula alianguka ghafla baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, iliyoketi katika ofisi yao ndogo iliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar-es-salaam, iliyokuwa ikiwajadili wanachama wa chama hiko akina Bernard Membe, Abdrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, kwa kile kilichoelezwa na chama hiko kuwa ni utovu wa nidhamu wa wanachama hao

Katika taarifa yake hiyo, alitueleza wananchi kuwa kwa taarifa walizozipata kutoka katika hospitali alikolazwa huyo Mzee Mangula ni kuwa amegundulika kuwa alinyweshwa sumu.

Kwa hiyo Kamanda Mambosasa, alijiapiza kwa nguvu zake zote kuwa watawasaka popote pale walipo ndani ya nchi na hata nje nchi, wote waliohusika katika njama za kupanga na wale waliotekeleza uovu huo, ambao ni dhahiri ulikuwa ni mpango mahsusi wa kutaka kuyaondoa maisha ya kiongozi wetu wa juu wa CCM

Akaendelea kusisitiza kuwa Jeshi lake halitajali kama watu hao watatoka CCM au chama kingine cha siasa na akasema kuwa watawaburuza mahakamani wahalifu hao mara tu watakapokamilisha upelelezi wao

Tunafahamu kuwa kwa kutekeleza jukumu hilo, Jeshi letu la Polisi nchini litakuwa linahakikisha linatekeleza wajibu wao namba moja katika majukumu yao, ambayo ni kuhakikisha usalama wa raia wake na mali zao

Tokea wakati huo Mzee Mangula amekuwa kimya sana na kuzua hofu miongoni ya wananchi kujiuliza yuko wapi mkongwe huyu wa siasa hapa nchini?

Hata hivyo kitendawili hicho kimetenguliwa siku ya Jana baada ya kuonekana akiibuka ghafla Ikulu ya Chamwino Dodoma, akiambatana na Rais wa Zanzibar, Dkt Mohamed Shein wakiwa na mwenyeji wao Rais Magufuli.

Sasa swali ninalomuuluza Kamanda Lazaro Mambosasa ni je baada ya tambo zake zote zile, je uchunguzi wa waliomnywesha sumu Mzee Mangula umefikia wapi?

Kwa kuwa hivi sasa ni takribani miezi minne tokea atoe tambo hizo na hatujasikia maendeleo yoyote kuhusu upelelezi huo
 
USSR na BIA YETU WATAKUJA NA RIPOTI SOON
Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula.

Katika taarifa yake hiyo alitutueleza kuwa Mzee Mangula alianguka ghafla baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, iliyoketi katika ofisi yao ndogo iliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar-es-salaam, iliyokuwa ikiwajadili wanachama wa chama hiko akina Bernard Membe, Abdrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, kwa kile kilichoelezwa na chama hiko kuwa ni utovu wa nidhamu wa wanachama hao

Katika taarifa yake hiyo, alitueleza wananchi kuwa kwa taarifa walizozipata kutoka katika hospitali alikolazwa huyo Mzee Mangula ni kuwa amegundulika kuwa alinyweshwa sumu.

Kwa hiyo Kamanda Mambosasa, alijiapiza kwa nguvu zake zote kuwa watawasaka popote pale walipo ndani ya nchi na hata nje nchi, wote waliohusika katika njama za kupanga na wale waliotekeleza uovu huo, ambao ni dhahiri ulikuwa ni mpango mahsusi wa kutaka kuyaondoa maisha ya kiongozi wetu wa juu wa CCM

Akaendelea kusisitiza kuwa Jeshi lake halitajali kama watu hao watatoka CCM au chama kingine cha siasa na akasema kuwa watawaburuza mahakamani wahalifu hao mara tu watakapokamilisha upelelezi wao

Tunafahamu kuwa kwa kutekekeza hivyo Jeshi letu la Polisi nchini likikuwa linahakikisha linatekeleza wajibu wao namba moja katika majukumu yao, ambayo ni kuhakikisha usalama wa raia wake na mali zao

Tokea wakati huo Mzee Mangula amekuwa kimya sana na kuzua hofu miongoni ya wananchi kujiuliza yuko wapi mkongwe huyu wa siasa hapa nchini?

Hata hivyo kitendawiki hicho kimetenguliwa siku ya Jana baada ya kuonekana akiibuka ghafla Ikulu ya Chamwino Dodoma, akiambatana na Rais wa Zanzibar, Dkt Mohamed Shein wakiwa na mwenyeji wao Rais Magufuli.

Sasa swali ninalomuuluza Kamanda Lazaro Mambosasa ni je baada ya tambo zake zote zile, je uchunguzi wa waliomywesha sumu Mzee Mangula umefikia wapi?

Kwa kuwa hivi sasa ni takribani miezi minne tokea atoe tambo hizo na hatujasikia maendeleo yoyote kuhusu upelelezi huo
 
Si iliripotiwa alikuwa mgonjwa wa moyo ama kuna ishu tofouti na hii?
 
Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula.

Katika taarifa yake hiyo alitutueleza kuwa Mzee Mangula alianguka ghafla baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, iliyoketi katika ofisi yao ndogo iliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar-es-salaam, iliyokuwa ikiwajadili wanachama wa chama hiko akina Bernard Membe, Abdrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, kwa kile kilichoelezwa na chama hiko kuwa ni utovu wa nidhamu wa wanachama hao

Katika taarifa yake hiyo, alitueleza wananchi kuwa kwa taarifa walizozipata kutoka katika hospitali alikolazwa huyo Mzee Mangula ni kuwa amegundulika kuwa alinyweshwa sumu.

Kwa hiyo Kamanda Mambosasa, alijiapiza kwa nguvu zake zote kuwa watawasaka popote pale walipo ndani ya nchi na hata nje nchi, wote waliohusika katika njama za kupanga na wale waliotekeleza uovu huo, ambao ni dhahiri ulikuwa ni mpango mahsusi wa kutaka kuyaondoa maisha ya kiongozi wetu wa juu wa CCM

Akaendelea kusisitiza kuwa Jeshi lake halitajali kama watu hao watatoka CCM au chama kingine cha siasa na akasema kuwa watawaburuza mahakamani wahalifu hao mara tu watakapokamilisha upelelezi wao

Tunafahamu kuwa kwa kutekekeza hivyo Jeshi letu la Polisi nchini likikuwa linahakikisha linatekeleza wajibu wao namba moja katika majukumu yao, ambayo ni kuhakikisha usalama wa raia wake na mali zao

Tokea wakati huo Mzee Mangula amekuwa kimya sana na kuzua hofu miongoni ya wananchi kujiuliza yuko wapi mkongwe huyu wa siasa hapa nchini?

Hata hivyo kitendawiki hicho kimetenguliwa siku ya Jana baada ya kuonekana akiibuka ghafla Ikulu ya Chamwino Dodoma, akiambatana na Rais wa Zanzibar, Dkt Mohamed Shein wakiwa na mwenyeji wao Rais Magufuli.

Sasa swali ninalomuuluza Kamanda Lazaro Mambosasa ni je baada ya tambo zake zote zile, je uchunguzi wa waliomywesha sumu Mzee Mangula umefikia wapi?

Kwa kuwa hivi sasa ni takribani miezi minne tokea atoe tambo hizo na hatujasikia maendeleo yoyote kuhusu upelelezi huo
Kunyweshana sumu ni utamaduni wa ccm nyinyi mnashadadia kujadili utamaduni wa watu ?
 
Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula.

Katika taarifa yake hiyo alitutueleza kuwa Mzee Mangula alianguka ghafla baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, iliyoketi katika ofisi yao ndogo iliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar-es-salaam, iliyokuwa ikiwajadili wanachama wa chama hiko akina Bernard Membe, Abdrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, kwa kile kilichoelezwa na chama hiko kuwa ni utovu wa nidhamu wa wanachama hao

Katika taarifa yake hiyo, alitueleza wananchi kuwa kwa taarifa walizozipata kutoka katika hospitali alikolazwa huyo Mzee Mangula ni kuwa amegundulika kuwa alinyweshwa sumu.

Kwa hiyo Kamanda Mambosasa, alijiapiza kwa nguvu zake zote kuwa watawasaka popote pale walipo ndani ya nchi na hata nje nchi, wote waliohusika katika njama za kupanga na wale waliotekeleza uovu huo, ambao ni dhahiri ulikuwa ni mpango mahsusi wa kutaka kuyaondoa maisha ya kiongozi wetu wa juu wa CCM

Akaendelea kusisitiza kuwa Jeshi lake halitajali kama watu hao watatoka CCM au chama kingine cha siasa na akasema kuwa watawaburuza mahakamani wahalifu hao mara tu watakapokamilisha upelelezi wao

Tunafahamu kuwa kwa kutekekeza hivyo Jeshi letu la Polisi nchini likikuwa linahakikisha linatekeleza wajibu wao namba moja katika majukumu yao, ambayo ni kuhakikisha usalama wa raia wake na mali zao

Tokea wakati huo Mzee Mangula amekuwa kimya sana na kuzua hofu miongoni ya wananchi kujiuliza yuko wapi mkongwe huyu wa siasa hapa nchini?

Hata hivyo kitendawiki hicho kimetenguliwa siku ya Jana baada ya kuonekana akiibuka ghafla Ikulu ya Chamwino Dodoma, akiambatana na Rais wa Zanzibar, Dkt Mohamed Shein wakiwa na mwenyeji wao Rais Magufuli.

Sasa swali ninalomuuluza Kamanda Lazaro Mambosasa ni je baada ya tambo zake zote zile, je uchunguzi wa waliomywesha sumu Mzee Mangula umefikia wapi?

Kwa kuwa hivi sasa ni takribani miezi minne tokea atoe tambo hizo na hatujasikia maendeleo yoyote kuhusu upelelezi huo
Cheap propaganda tu hizi,
Ukikumbuka wakati wanadai amenyweshwa sumu,alikuwa ametoka kwenye kikao cha kumjadili Membe(jasusi mzoefu),hapa wazee wa kijani walikuwa wanatengeneza nyuzi tu,ziende kwa mwelekeo wanaotaka,
Mambosasa akasema"watamtafuta aliye mpa sumu,ndani na nje ya chama"
Hii kauli tu,nikajua huu ni upuuzi mwingine,
 
Kuna kiongozi alisema alishawahi kuongea na Kigoda akiwa ICU.
 
Si iliripotiwa alikuwa mgonjwa wa moyo ama kuna ishu tofouti na hii?
Tuliambiwa kuwa amenyweshwa sumu na watu wasiojulikana.......

Hata hivyo Jeshi la Polisi lilijiapiza kuwa litawasaka popote walipo duniani na kuwakamata na kuwafikisha mahakamani......

Ndipo hapo ninapojiuliza, upelelezi wao umefikia wapi?
 
Police walidai kanyweshwa sumu,kwa hiyo police walipata ushahidi wa kunyweshwa sumu,japo hawakuingia details za aina ya sumu,na mfumo uliotumika kumywesha sumu.
Case closed kwa sasa,lakini mtu mwenyewe damu ya kunguni akijajimwambafayi kanunua kesi.
 
Magoti anawatesa kweli polisi ,kamtu kenyewe kalemavu lakini kanawagonga sumu balaa.
 
Mambokale alikuwa anafanya maigizo ambayo yameendelea kumshusha hadhi yake machoni pa wakazi wa kanda maalumu
 
Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula.

Katika taarifa yake hiyo alitutueleza kuwa Mzee Mangula alianguka ghafla baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, iliyoketi katika ofisi yao ndogo iliyopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar-es-salaam, iliyokuwa ikiwajadili wanachama wa chama hiko akina Bernard Membe, Abdrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, kwa kile kilichoelezwa na chama hiko kuwa ni utovu wa nidhamu wa wanachama hao

Katika taarifa yake hiyo, alitueleza wananchi kuwa kwa taarifa walizozipata kutoka katika hospitali alikolazwa huyo Mzee Mangula ni kuwa amegundulika kuwa alinyweshwa sumu.

Kwa hiyo Kamanda Mambosasa, alijiapiza kwa nguvu zake zote kuwa watawasaka popote pale walipo ndani ya nchi na hata nje nchi, wote waliohusika katika njama za kupanga na wale waliotekeleza uovu huo, ambao ni dhahiri ulikuwa ni mpango mahsusi wa kutaka kuyaondoa maisha ya kiongozi wetu wa juu wa CCM

Akaendelea kusisitiza kuwa Jeshi lake halitajali kama watu hao watatoka CCM au chama kingine cha siasa na akasema kuwa watawaburuza mahakamani wahalifu hao mara tu watakapokamilisha upelelezi wao

Tunafahamu kuwa kwa kutekeleza jukumu hilo, Jeshi letu la Polisi nchini litakuwa linahakikisha linatekeleza wajibu wao namba moja katika majukumu yao, ambayo ni kuhakikisha usalama wa raia wake na mali zao

Tokea wakati huo Mzee Mangula amekuwa kimya sana na kuzua hofu miongoni ya wananchi kujiuliza yuko wapi mkongwe huyu wa siasa hapa nchini?

Hata hivyo kitendawili hicho kimetenguliwa siku ya Jana baada ya kuonekana akiibuka ghafla Ikulu ya Chamwino Dodoma, akiambatana na Rais wa Zanzibar, Dkt Mohamed Shein wakiwa na mwenyeji wao Rais Magufuli.

Sasa swali ninalomuuluza Kamanda Lazaro Mambosasa ni je baada ya tambo zake zote zile, je uchunguzi wa waliomnywesha sumu Mzee Mangula umefikia wapi?

Kwa kuwa hivi sasa ni takribani miezi minne tokea atoe tambo hizo na hatujasikia maendeleo yoyote kuhusu upelelezi huo
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Back
Top Bottom