DOKEZO Tunaomba Serikali iingilie kati Hospitali ya Dar Group (T.O.H.S), Mmiliki hajulikani

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
We ndezi ulikuwa unatetea utumbo hapa,tume hiyo inakuja lazima tumwage mboga pumbvu zenu.
Ndezi mwenyewe. Mliambiwa tangu mwanzo mfuate proper channels za malalamiko. Unadhani DC Godwin Gondwe alienda pale kwa kufuata majungu ya fake ID huku JF? Kuna wenzio wenye akili timamu walichukua hatua sahihi, na siyo makelele ya kiswahili cha la saba humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…