Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimeona moja ya sababu ya kumwondoa Kiboko ya Wachawi ni wizi utapeli kumwona 500000
Nimeona pia mtudaiidie kuna dini zingine wanaanzisha matamasha tena kila mkoaaa na ule wenye hela nzuri wanaongeza viingilio
Hapo hapo ukute wameshapokea mahela ya t-shirt soksi na majeans yao
Haya matamasha yawe bureeeee wananchii wakatie sadaka wanavyotaka na sio kushindwa kupokea upakooo kisa kiingilioo
Nimeona pia mtudaiidie kuna dini zingine wanaanzisha matamasha tena kila mkoaaa na ule wenye hela nzuri wanaongeza viingilio
Hapo hapo ukute wameshapokea mahela ya t-shirt soksi na majeans yao
Haya matamasha yawe bureeeee wananchii wakatie sadaka wanavyotaka na sio kushindwa kupokea upakooo kisa kiingilioo