Tunaomba taasisi za Serikali waweke namba zinazopatikana kwenye mtandao

Tunaomba taasisi za Serikali waweke namba zinazopatikana kwenye mtandao

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Tunaomba taasisi za Serikali waweke namba zinazopatikana kwenye mtandao. Kimsingi ni vigumu kupata mawasiliano kwa kutumia namba za simu zilizoko kwenye mtandao kwani nyingi ya namba hizo hazipatikani kwa sababu tofauti tofauti (ni mbovu, hazijalipiwa au hazitumiki tena) nk.

Baadhi ya watu hufanikisha mambo yao kwa kuwa na bahati ya kujua namba binafsi za wahusika kitu ambacho sio rahisi kwa wasio na hiyo bahati.

Singependa kuorodhesha hapa ila kwa ujumla tatizo nikubwa!
 
Tunaomba taasisi za Serikali waweke namba zinazopatikana kwenye mtandao. Kimsingi ni vigumu kupata mawasiliano kwa kutumia namba za simu zilizoko kwenye mtandao kwani nyingi ya namba hizo hazipatikani kwa sababu tofauti tofauti (ni mbovu, hazijalipiwa au hazitumiki tena) nk.

Baadhi ya watu hufanikisha mambo yao kwa kuwa na bahati ya kujua namba binafsi za wahusika kitu ambacho sio rahisi kwa wasio na hiyo bahati.

Singependa kuorodhesha hapa ila kwa ujumla tatizo nikubwa!
Huu ni ukweli mtupu, taasisi nyingi wana customer care mbovu

namba za simu wameweka kama geresha tu
 
Tatizo la Tanzania ni elimu wengine wakiona namba wanapiga hovyo hovyo wakati hawaitaji huduma ya muhimu ndo wanasababisha kutokea hali hyo.
 
Back
Top Bottom