Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo

Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo. Awali kupitia barua waliyotoa tarehe 2 July 2024 walisema ongezeko hilo ni kwaajili ya madeni ya nyuma! Sasa tunaomba kufahamishwa baada ya makato hayo gharama zitaendelea kuwa zile zile za awali ambapo ni 1500 au ni 2000? 🤔
 
Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo. Awali kupitia barua waliyotoa tarehe 2 July 2024 walisema ongezeko hilo ni kwaajili ya madeni ya nyuma! Sasa tunaomba kufahamishwa baada ya makato hayo gharama zitaendelea kuwa zile zile za awali ambapo ni 1500 au ni 2000? 🤔
Ni arrears
 
Watanganyika mtafanyiwa kila dhahama, mtaishia kulalamika mitandaoni tu na hakuna kile mtafanya. Ata hao ulio watag hakuna chochote watafanya, kifupi viongozi wenu wameisha wajua ndio maana wako tayari kuwafanya vile wanataka. Ata leo hii wakisema ushoga sasa ni rasmi kwenye nchi yenu mtakubali maana hakuna lolote mtafanya.

Inatia hasira eeeh!
 

Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo. Awali kupitia barua waliyotoa tarehe 2 July 2024 walisema ongezeko hilo ni kwaajili ya madeni ya nyuma! Sasa tunaomba kufahamishwa baada ya makato hayo gharama zitaendelea kuwa zile zile za awali ambapo ni 1500 au ni 2000? 🤔
Mkuu makato ni yale yale 1500 kwa majengo ya kawaida
 
Back
Top Bottom