THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Vitalo angecheza na Sinza Star ya kina Mansuli mbona angekufa nyingi.Mbumbumbu wanacheza na team za umiseta wanafurahia
Ngoja wananchi wababe tukianza kusambaza 6 watasema GSM asidhamini teams
Juzi umesahau nimechukua ngap ya jamii Kwa kukupiga kipigo cha mbwa mwiziVitalo angecheza na Sinza Star ya kina Mansuli mbona angekufa nyingi.
Wachezaji kama kina Chama wangeonekana wengi sana siku hiyo na wala hata isingekuwa habari kubwa
Kipigo cha mbwa mwizi goli 1?Juzi umesahau nimechukua ngap ya jamii Kwa kukupiga kipigo cha mbwa mwizi
Na Sasa hesabu unasoma 8_2
Simba na vitalo ni sawa
Kikosi cha trial?Kipigo cha mbwa mwizi goli 1?
Tena kwenye kikosi ambacho kipo trial?
πππVitalo angecheza na Sinza Star ya kina Mansuli mbona angekufa nyingi.
Wachezaji kama kina Chama wangeonekana wengi sana siku hiyo na wala hata isingekuwa habari kubwa
Tulia tuanzeWakishinda wanajisifu wakigongwa bado hawajaungana
kweli kabisa. wanatabia ya kulaumu bahasha wakiona joto la Yanga,Kiukweli Wanalunyasi tunaona mnakiwasha sana mnajipigia tu leo 3 akija huyu 4 sijui anaefata mnapiga ngapi?
Si hatuwaingliii jipigieni hivohivo nyie akikaa vibaya hata Azam pigeni 7ππ
NB:Ila Ombi ni moja tu Pale Team inayojielewa ikianza kusambaza vipigo ya 5G hadi kwenu.. tunaomba mkae kimya sisi hatujasema bahasha tumeamua kuheshimu Matokeo yenu..Na tunawapongeza ila na sisi tukianza msije kuanza kusema Bahasha na kufukuzana.
#Jioni Njema WanaJamhuri
Round hii tutakua hatugawi 5G bali nahisi itakua 7G ili game mbili tu awe wa pili MY wetuπkweli kabisa. wanatabia ya kulaumu bahasha wakiona joto la Yanga,
RAGE Prof sana hayajielewi.Kikosi cha trial?
Kwani Simba ndo imepanda daraja?
Mlivyopigwa 5 mlikuwa trial Gani
Mbumbumbu tambeni tukikutana mkala mkono msije kulia
Kwa hiyo unalalamika au unaomba muwafunge timu zingine?Kiukweli Wanalunyasi tunaona mnakiwasha sana mnajipigia tu leo 3 akija huyu 4 sijui anaefata mnapiga ngapi?
Si hatuwaingliii jipigieni hivohivo nyie akikaa vibaya hata Azam pigeni 7ππ
NB:Ila Ombi ni moja tu Pale Team inayojielewa ikianza kusambaza vipigo ya 5G hadi kwenu.. tunaomba mkae kimya sisi hatujasema bahasha tumeamua kuheshimu Matokeo yenu..Na tunawapongeza ila na sisi tukianza msije kuanza kusema Bahasha na kufukuzana.
#Jioni Njema WanaJamhuri