Tunajua Mh Rais anapitia humu ila tunataka tuyamwage tuliyonayo kwenye kapu moja ili kumpungumzia muda wa kuperuzi majukwaa kibao.
Usitumie wingiWanajamiiforum wana maswali mengi sana ambayo wangependa waisikie serikali moja kwa moja.
Mnaleta siasa Jf lo!