FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Nusu ya Watanzania au Waafrika waliozikwa wakiwa hai.tunaiomba serikali itoe posho kwa madaktari na usafiri wa pikipiki ili wagawane vijiji kuweza kufika kuthibitisha iwiwao kifo kitatokea,siyo watu wanazikana kienyeji,tutazikwa wazima
niite mlokozi
Hahah ndo man nimeacha USIA nikifia kijijini lazima nipelekwe hospitalini waweza zikwa mzima bure,na wadeni wako kumbe ulikuwa unawadaiNusu ya Watanzania au Waafrika waliozikwa wakiwa hai.
Maana mtu anaweza kuzimia wakamchimbia kaburi na akazikwa.
Upo sahihi sanaSio kuzikwa hai tu kuna wengine wameuwawa na wa karibu lakini huwezi kujua maana ni kilio tu kama vilio vingine
Nchi nyingi ni marufuku kuzika bila uchunguzi wa daktari
Yaani unaweza ukasubiri hata mwezi nchi zingine
Kweli watu wanazika watu wakiwa hai na wengine masuala ya mirathi na kuanza kujililisha kama kuna msiba wa kawaida kumbe ni murder case iliyofichwa
HahahBasi Ukifa Upige Simu Hospitali Waje Wathibitishe π
Mh!!Nusu ya Watanzania au Waafrika waliozikwa wakiwa hai.
Maana mtu anaweza kuzimia wakamchimbia kaburi na akazikwa.
Hata nchi zingine za ulaya kama Spain wanazika within 24 hoursHapa ndugu zetu waislamu hawatakuelewa.
Dont try to be a wise guyBasi Ukifa Upige Simu Hospitali Waje Wathibitishe π