Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 144
- 211
Habarini wana Jf,
Katika Nchi yetu ya Tanzania population inazidi kuwa kubwa hasa na takribani miaka 100 ijayo Tanzania inaweza kuwa kwenye top ten ya Nchi zenye population kubwa duniani kulingana na Takwimu, hivo kutokana na ukuaji wa population wasomi wanazidi kuwa wengi, shule zinakuwa nyingi sana Lakini ajira hakuna ndiyo pale mwanafunzi anamaliza masomo yake ya elimu ya Juu Hana fani yoyote ya kujiajiri mwenyewe na anasubiria aajiriwe serikalini kitu ambacho ni kigumu sana na kuwapelekea vijana wengi kuanza kuwaza uhuni na mambo mengi ya ajabu ambayo hayatakiwi kufanyika katika Jamii.
Hivyo, lengo la kuyasema haya ni kwamba, kutokana na ongezeko kubwa la wasomi Serikali ifanye Marekebisho katika mtu kustaafu kufanya kazi serikalini (Iwekwe miaka 45 au mpaka 50 lakini 45 itapendeza zaidi). Naamini mtu akiajiriwa hali ya kuwa ana Umri wa miaka 25-28, mpaka kufikia 45 atakuwa tayari keshatengeneza msingi wa maisha na watoto wake na kwa hali kama hii watu watakuwa serious sana. Siyo mtu mpaka afikishe miaka 60 ndiyo astaafu wengine nao waliosoma miaka 17 mpaka 20 wawe wamepoteza tu muda? Kutakuwa na faida ya kupeleka watoto shule?..
Lakini pia suala la viongozi wa Serikali, kwanini mtu mmoja anakuwa uongozi wa wizara nyingi na mishahara yote anachukua? Kwanini wasipewe watu wengine ili nawao waishi vizuri na familia zao pamoja na ndugu zao? Kwanini awe mtu mmoja tu?
Kazi Mizinguo tuuuu, Fanyeni Amendment bhn , Nchi ina watu wengi sana na wengine waishi na familia zao.
Yaani kwanza Bora ingekuwa mtu akifikisha miaka 50 tu anakuwa hawezi hata kutoka ndani maana mnazingua saana.
Katika Nchi yetu ya Tanzania population inazidi kuwa kubwa hasa na takribani miaka 100 ijayo Tanzania inaweza kuwa kwenye top ten ya Nchi zenye population kubwa duniani kulingana na Takwimu, hivo kutokana na ukuaji wa population wasomi wanazidi kuwa wengi, shule zinakuwa nyingi sana Lakini ajira hakuna ndiyo pale mwanafunzi anamaliza masomo yake ya elimu ya Juu Hana fani yoyote ya kujiajiri mwenyewe na anasubiria aajiriwe serikalini kitu ambacho ni kigumu sana na kuwapelekea vijana wengi kuanza kuwaza uhuni na mambo mengi ya ajabu ambayo hayatakiwi kufanyika katika Jamii.
Hivyo, lengo la kuyasema haya ni kwamba, kutokana na ongezeko kubwa la wasomi Serikali ifanye Marekebisho katika mtu kustaafu kufanya kazi serikalini (Iwekwe miaka 45 au mpaka 50 lakini 45 itapendeza zaidi). Naamini mtu akiajiriwa hali ya kuwa ana Umri wa miaka 25-28, mpaka kufikia 45 atakuwa tayari keshatengeneza msingi wa maisha na watoto wake na kwa hali kama hii watu watakuwa serious sana. Siyo mtu mpaka afikishe miaka 60 ndiyo astaafu wengine nao waliosoma miaka 17 mpaka 20 wawe wamepoteza tu muda? Kutakuwa na faida ya kupeleka watoto shule?..
Lakini pia suala la viongozi wa Serikali, kwanini mtu mmoja anakuwa uongozi wa wizara nyingi na mishahara yote anachukua? Kwanini wasipewe watu wengine ili nawao waishi vizuri na familia zao pamoja na ndugu zao? Kwanini awe mtu mmoja tu?
Kazi Mizinguo tuuuu, Fanyeni Amendment bhn , Nchi ina watu wengi sana na wengine waishi na familia zao.
Yaani kwanza Bora ingekuwa mtu akifikisha miaka 50 tu anakuwa hawezi hata kutoka ndani maana mnazingua saana.