Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
JeroEti na wale mnaopenda kusema wadada siku hizi bei rahisi dada zenu je mtuambie sasa sio kusema tu ooo wanawake wa jf oooh wanawake wa wapii tusimulieni na dada zenu wananunuliwa kwa sh.ngapiView attachment 869435
Wasio wanafki watasema ukweli ila wenzangu na Mimi kina Mr. Perfect utaona watakavyokuja kuandika mashairiMaana wamekazanaga tu leo watujibu kuhusu dada zao
Ndio utaona sina dada weweeee kwani mtoto wa mamdogo si ni dada jamanii [emoji57][emoji57]Wasio wanafki watasema ukweli ila wenzangu na Mimi kina Mr. Perfect utaona watakavyokuja kuandika mashairi
Kwani umeuliza na ndugu? Anyway ndugu sikuwa naishi nao kwahio sijui walikua wanauza au wanatoa bureNdio ni dada zako tu unataka kusema huna ndugu
Tumejumuisha wote banaKwani umeuliza na ndugu? Anyway ndugu sikuwa naishi nao kwahio sijui walikua wanauza au wanatoa bure
Na wengine wapo. Ila dada zangu ndio sample nzuri asee.Kwa hiyo we husemagi dada za watu maana yashakukuta tayari etii [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumekupenda bureNa wengine wapo. Ila dada zangu ndio sample nzuri asee.
Tunavyo sema wadada inamnisha na Dada zetu wamo ndaniEti na wale mnaopenda kusema wadada siku hizi bei rahisi dada zenu je mtuambie sasa sio kusema tu ooo wanawake wa jf oooh wanawake wa wapii tusimulieni na dada zenu wananunuliwa kwa sh.ngapiView attachment 869435
Acheni viswahiliiii huwa mnasema wa wengineeTunavyo sema wadada inamnisha na Dada zetu wamo ndani
Sasa Dada ni nani kwangu ningesema mademu hapo ni tofautiAcheni viswahiliiii huwa mnasema wa wenginee