Halafu wewe unaweza kuwa kale kademu kangu ka primary school enzi hizo
Brenda alikwa Seven A ? Walikuwa wanakaa mikocheni?Aahahahahaaahahahaa baba Taibali unanionea....
Primary nilikuwa bado mbichi sijaiva, Ila kuna mtoto alikuwa anaitwa Brenda..... Huyo alianza tangu darasa la tano na wote tulijua...
Brenda alikwa Seven A ? Walikuwa wanakaa mikocheni?
Aisee unaowataja wengine Wana wajukuu SAA hiziNash sio huyo banaa, wee niliwazungumzia wale mapacha wavulana wawili wanene nywele zao kama zimenyonyoka ukasema nearly tu disclose the data...
Ila huyu Brenda alikuwa wa magorofa ya hospitali..
Aisee unaowataja wengine Wana wajukuu SAA hizi
Leo baridi 24.5cSee how konki I am....
Hao wote nimewafundisha sasa aahahahahhahaaa..
Usisahau mabungo.... Halafu yule Babu aliyekuwa anauza mabungo alikuwa na mkono mnene like umelemaa kwenye kiganja umevimba hivo siku zote...
Chips za shilingi 20 halafu hata hazijaiva vizuri, ubuyu wa pilipili kule hospitali aahahahahaa
Siku Ndosi, Gabone na Wille wakichachamaa ni mwendo wa kuokota punje za ubuyu shule nzima aahahaha
Headmaster akija utamsikia....shika kiatu, shika kiatu...
Nasma Mwin.... hakumalizia pale aliishia namba 5 .......siku nazi gandi aiseeh ni kitamboooo
Na wa Mwandosya pia aliishia namba 4 au 5.
Leo baridi 24.5c
View attachment 1346020
Tafuta 2.5si au 2.5iWakuu mnaonaje hii gari Nina ndoto za kuimiliki siku mojaView attachment 1346122View attachment 1346123
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tofauti yake ni ipi ukilinganisha na hiyo niliyoiona beforward mkuuTafuta 2.5si au 2.5i
Hata mimi nitakutetea kwa hili.Mkuu with all due respect, nimejibu PM zako zaidi ya 50 regarding this.
Hayo magari uliyotaja yako class moja. Hapo ni uchaguzi binafsi unapenda nini.
Hio hapo ni 3.0i cc3000. Wese mafuta ndugu....At least 2.5i sio mbaya sanaMkuu tofauti yake ni ipi ukilinganisha na hiyo niliyoiona beforward mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo mi si mjuzi sana wa magari Ila hapo mkuu mbona naona kuna utafauti mdogo sana kwenye cc maana hiyo ya 2.5i ina cc2490 na hii ya 3.0i ina cc 29450 mi naona kama utofauti ni mdogo sana au wewe unasemaje kuhusu hilo mkuuHio hapo ni 3.0i cc3000. Wese mafuta ndugu....At least 2.5i sio mbaya sana
Mwaka wa 5 sasa bado una compare na ku-contrast tu hayo magari mzee baba.Okay let's find out,
Compare afu contrast hizi gari kitaaalam zaidi....afu toa recommendations. Ukitaka hadidu rejea usisite kuuliza;
2013 Benz E Class W212 E200/250 (facelifted) v. 2013 BMW 5 series 520i v. 2013 Audi A6 2.0T
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwenye gari tofauti ya cc500 ni kubwa sana. Unafikiri Toyota IST ya cc1490 haina tofauti na GX100 ya cc2000?!Japo mi si mjuzi sana wa magari Ila hapo mkuu mbona naona kuna utafauti mdogo sana kwenye cc maana hiyo ya 2.5i ina cc2490 na hii ya 3.0i ina cc 29450 mi naona kama utofauti ni mdogo sana au wewe unasemaje kuhusu hilo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
UmetishaNipo njiani naelekea kwenye kitimoto! View attachment 1346435
Mwaka wa 5 sasa bado una compare na ku-contrast tu hayo magari mzee baba.
Nunua hata ka vitz ka kuzugia mkuu.
dodge