Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,936
- 1,972
Hahahahahaa namba yako ya m.pesa au tigo pesaa sasa tufanyee wepesiiNipe hayo mahela basi mana bado niko nalo
Utoto wangu wote sijawahi ona akitisha. just mdudu tu.. achen uwogaAkitembea anatisha na ile minyoya chaajabu Zambia wanaila
Hahahahahaa namba yako ya m.pesa au tigo pesaa sasa tufanyee wepesii
Hahahahaaa sawaa shunieeTigo pesa Rijali
Sifa ya mwanaume ni kupambana hadi sekunde ya mwisho sasa wewe endelea kujilegezaAisee kuna madudu yanaitwa washawasha au itching caterpillars hao nawaogopa kuliko kawaida naweza kupa hela yoyote nilionayo nikiona umelishika hasa lile lenye manyoya na macho
Mungu niepushe nisikutane nayo wewe waujua udhaifu wangu.
eti Dudu Washa lenye ManyoyaDudu washa lenye manyoya Rijali
eti Dudu Washa lenye Manyoya
HahahahNaomba mahela niko nalo hapa nimelishika
Mkuu kuna comando mmoja wa USA seal team six alikuwa anahojiwa kwenye channel moja akasema anaogopa mno spider buibui sasa hata Mimi ni ngangari sana ila kwa washa washa hapana aisee tena ulikute juu ya mti limejikamafleji weeeeHawa ndio wanaotudhalilisha Wanaume wa Dar..
Niko form three nataka kufanya mchezo mbaya na mtu nyuma ya zizi la ng'ombe sasa pensi imeshuka chini kurahisisha unyonyaji wale ng'ombe nahisi waliona wivu.aiseee Mimi Bwana huwa naogpa sana ng'ombe aiseee
Hahahaaaaaa hahaaa hahaaaa hahaaa .. mkuu hilo tukio ", lililokukuta", nadhani", lilisababisha ",usidinde mwezi mzima"". NILIPOKUW mdogo" niliwahi kushuhudiA " ng'ombe akimchota mjomba wangu mzima mzima na mapembe yake'' AISEEEE MPAKA LEO HII URAFIKI NA NG'OMBE SIUHITAJI KabisaaaNiko form three nataka kufanya mchezo mbaya na mtu nyuma ya zizi la ng'ombe sasa pensi imeshuka chini kurahisisha unyonyaji wale ng'ombe nahisi waliona wivu.
Mmoja alitoka akaanza kutukimbiza mimi pensi ipo kwenye ankles najitahidi kukaza mwendo nazungushana naye kwenye banda. Akiwa huku mi kule akiwa kule mi huku.
Wenye nyumba wakatoka na mapanga (nahisi walidhani mwizi) nikaona leo nitakufa nikatoka spid nikadandia ukuta nikasepa.
Pensi ilibaki pale pale, saa tisa usiku haikua ishu kutembea na boxer iliyochanika.
Sina uhusiano mzuri na ng'ombe tangu kipindi hicho.
hahaaa maajabu " nini sasa ",wakati wewe waogopa ",washa washa",,afadhali yangu mimi Nina nafuu",..daaah kwanza ng'ombe Niki on a Gael Yale macho yake akikukata jicho tu "" aisee huwa nahisi kama anataka kunitoa mbioMaajabu haya