Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Unaniangusha mkuu,Tulia kidogo...
Baaadaye baaadaye..[emoji28]
Tusi la rafiki ni mafuta tu[emoji23][emoji23][emoji23]Kichakoro cha kahawani wewe[emoji28]
Okay,Mkuu mbona huyu jamaa ni rafiki yangu kitambo
Toa mfano mkuuWekeni mafoto Acheni story
Weka shost, achana na pipo wa hapa huwaweziMie nikiweka picha hapa, watasema nataka kuharibu uzi.
Nafaidi kutazama za wengine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka watu wakimbie humu nibaki mwenyeweToa mfano mkuu
Hakuna wewe kukimbia,Unataka watu wakimbie humu nibaki mwenyewe
Tichaa π
Picha Tafadhali tuone utukufu wa Mola wa viumbe woteTichaa [emoji122]
Ngoja Espy Eroni atoe tamko..Unaniangusha mkuu,
Mnasubiri mpaka tukamatike na majukum ndio muweke.
Hebu weka sahii mkuu hapa ndio mahali pake.
Kwenda huko[emoji28][emoji28]Tusi la rafiki ni mafuta tu
[emoji7]
Zangu zipo huko juu za kutosha halafu em na wewe tupia yako hapo uzi uendelee kupendeza ...π€Picha Tafadhali tuone utukufu wa Mola wa viumbe wote
We yako iko wapi?Kuweka picha na kuifuta hapo hapo ni moja ya matatizo ya akili pia
Ujue mpaka sasa sijatoka hapa,Ngoja Espy Eroni atoe tamko..
Vigagula tuna mida yetu[emoji23][emoji23]
Sawa Mkuu...kuwa na subra...Ujue mpaka sasa sijatoka hapa,
Nasubiri uifanye siku ya leo iwe ya kupendeza
Espy Eroni yako unaweka saa ngap?
Mm mbona niushaupendezesha mpaka pm imefura huku labda usiku nitatupiamoZangu zipo huko juu za kutosha halafu em na wewe tupia yako hapo uzi uendelee kupendeza ...[emoji847]
Mkuu niko hapo nasubiri.Sawa Mkuu...kuwa na subra...
πππ sawa wacha tuoneeMm mbona niushaupendezesha mpaka pm imefura huku labda usiku nitatupiamo