Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Nimezitafuta mkuu sizioni.Mm mbona niushaupendezesha mpaka pm imefura huku labda usiku nitatupiamo
Kwan ujaziona huko juu? Had wengne walizania mm wa kikeWe yako iko wapi?
Si unaongeza nyingine bossKwan ujaziona huko juu? Had wengne walizania mm wa kike
Tatizo mm huwa sipigi picha yan sijui kwann sipo interested sana na maphotoSi unaongeza nyingine boss
hahahaha.humu kuna nani? We mtata kumbe eeh?Hapana, tulishakubaliana huku hamna warembo
Ngoja niombe ushauri kwanza kwa member wengine.Wengine tunapenda kama hizo kwahiyo fanya namna tuone 😍
Nipo mkuu
Niko ndani ya friza nimejipumzisha
Ndio mimi nimefunga bibieWewe?
We ninyanyase tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Katuangusha kinoma
Na mie natafuta yaani tumekutanaNdio mimi nimefunga bibie
Nataka niitafute firidaus au jannat naim
Haitotokea kukunyanyasaWe ninyanyase tu
Tutakutana peponi kama mtume na mkewe wa kwanzaNa mie natafuta yaani tumekutana
mazingira ya wapi hii...huwa napenda sana mazingira ya namna hii very natural...nakumbuka hali ya hewa ya bukoba..very natural