KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Humu kuna watu mnakula vinono sana. Huku unatafuna Miss Natafuta, mara unatafuna To yeye, kesho unatafuna Evelyn Salt, mara miss Nakubusu, yaaani maisha umeyapatia mzeeKupendwa ndio huku, kupendwa kuheshimiwaβΆοΈ
Wee,sema kweli? πHumu kuna watu mnakula vinono sana. Huku unatafuna Miss Natafuta, mara unatafuna To yeye, kesho unatafuna Evelyn Salt, mara miss Nakubusu, yaaani maisha umeyapatia mzee
Unajidai hujui?Wee,sema kweli? π
Mie nimeolewa mbona! Kwani kuchepuka nimeanza lini? Afu nina moto Leo π...daaahUnajidai hujui?
π²π²Weee nitoe kwenye hio list ya watafunwa.Huyo Bujibuji Simba Nyamaume ana kubalika na wengi ni mtu mkarimu na ukipata bahat ya kujuana naye na kuwa rafik yke utafurah.So Mimi bujibuji ni rafik yngu na siyo vinginevyo.Humu kuna watu mnakula vinono sana. Huku unatafuna Miss Natafuta, mara unatafuna To yeye, kesho unatafuna Evelyn Salt, mara miss Nakubusu, yaaani maisha umeyapatia mzee
Kwa hiyo hamna mgegedo? Mbona mko karibu sana, ma like yako kama yote, ma love love kwa sana?π²π²Weee nitoe kwenye hio list ya watafunwa.Huyo Bujibuji Simba Nyamaume ana kubalika na wengi ni mtu mkarimu na ukipata bahat ya kujuana naye na kuwa rafik yke utafurah.So Mimi bujibuji ni rafik yngu na siyo vinginevyo.
basi tu yeye ni mtu wa utani kanizoeya,sijawah kuwa na uhusiyano naye Zaid ya urafikiKwa hiyo hamna mgegedo? Mbona mko karibu sana, ma like yako kama yote, ma love love kwa sana?
Asante sana kwa kunipamba, maneno yako yamefanyika chachu moyoni mwangu kutenda wema na kuwa mkarimu zaidi. Mungu ametutaka tumpende yeye, na pia tuwapende wenzetu kama nafsi zetuπ²π²Weee nitoe kwenye hio list ya watafunwa.Huyo Bujibuji Simba Nyamaume ana kubalika na wengi ni mtu mkarimu na ukipata bahat ya kujuana naye na kuwa rafik yke utafurah.So Mimi bujibuji ni rafik yngu na siyo vinginevyo.
Hanywagi beer huyu jamaa, huwa anakunywa mvinyo mwekundu pekeeNaamini hii ni nguvu ya bia
Itabidi nifanye na mimi nionane naye, naona huwa GENTAMYCINE wanaheshimiana sana, namna GENTAMYCINE anavyomuongelesha ni tofauti na anavyomuongelesha mtu mwingine. Nilikuwa namfuatili kwenye uzi wa Nimrod Mkonobasi tu yeye ni mtu wa utani kanizoeya,sijawah kuwa na uhusiyano naye Zaid ya urafiki
πππ ndio uwamin sasa kwamba ni mtu wa watu,hana makuu bujibuji.Itabidi nifanye na mimi nionane naye, naona huwa GENTAMYCINE wanaheshimiana sana, namna GENTAMYCINE anavyomuongelesha ni tofauti na anavyomuongelesha mtu mwingine. Nilikuwa namfuatili kwenye uzi wa Nimrod Mkono
Sawa nitafurahi nikionana na nyie woteπππ ndio uwamin sasa kwamba ni mtu wa watu,hana makuu bujibuji.
Hah hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ ndio uwamin sasa kwamba ni mtu wa watu,hana makuu bujibuji.