Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Wanatengezea Soseji ni nyama inayotoka kwenye mapaja ya ng'ombe km mnyororo flani hivi iko ndani pembeni ya paja ni stake tupu alafu lainiii hata kiboyo anakula [emoji23][emoji23] ndo nyama pekee ghali mno.
Inaitwa livevu, nyama tamuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na mwingne kasema nilimdanganya naishi kimara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa sijui kafahamu naishi wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu miyeeeee[emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu miyeeeee[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuh
 
Huu uzi naona uko na kasi ya 5G, mchana ulikua kwenye 7k now naona mmefika 10.4k[emoji1430]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…