Tunaopitia wakati mgumu kiuchumi tukutane hapa tushee mawili matatu

Tunaopitia wakati mgumu kiuchumi tukutane hapa tushee mawili matatu

Mangole Valles Michael

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2021
Posts
338
Reaction score
683
Habarini wana jamvi, huu utakuwa uzi maalumu kwa wale tunaopitia wakati mgumu kiuchumi/ tulio drop na kufirisika.. na bado hatujasimama.

Binafsi mimi kwa sasa ni miongoni mwa watu wanaopitia kipindi hiki kwa sasa, nimeyumba sana nimeachana na watu niwapendao kwa sababu ya utafutaji (umbali umetutenganisha) nina miezi sita mpaka sasa sijalala kwenye kitanda na godoro.

Nilianzisha goli moja la kiosk fluani hivi unfortunately biashara haiendi poa naona inazidi kudidimia kabisa.

Japokuwa bado Nina idea ya biashara inayoendana na mtaji wangu huu mdogo kwa sasa isiyo aka kukaa kwenye frem. Idea zipo ina mipango kazi ndo kidogo nafeli hapo.

Wewe mwenzangu kwa upande wako vipi? Una mpango gani mpaka sasa?

Nb ukivuka kipindi hiki usisahau kuja kutoa abc ulivyofanikiwa kuvuka katika nyakati hizi.
 
Nilikopa pesa nikafungua kaduka ka kuuza unga, mchele, sukari na vitu vidonge, mwezi haujapita nikadakwa na halmashauri nikapiwa faini 200000, nikashindwa ikanibidi nifunge. Mkopo nitarudishaje? Mikono bado ipo kwenye tama!! Hata hivyo natafuta kitambulisho cha wamachinga nijaribu biashara ambayo haina fremu. (Duka mkononi) ama kweli maisha pasua kichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikopa pesa nikafungua kaduka ka kuuza unga, mchele, sukari na vitu vidonge, mwezi haujapita nikadakwa na halmashauri nikapiwa faini 200000, nikashindwa ikanibidi nifunge. Mkopo nitarudishaje? Mikono bado ipo kwenye tama!! Hata hivyo natafuta kitambulisho cha wamachinga nijaribu biashara ambayo haina fremu. (Duka mkononi) ama kweli maisha pasua kichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimefanya biashara ya duka la rejareja ninamiaka minne au mitano sasa biashara ilikuwa nzuri tu lkini kuanzia mwaka jana wamekuja watu kufungua maduka tena wenye mitaji mikubwa zaidi mimi nimebaki na shangaa tu biashara haiendi kabisa na ukizingatia ninamke na watoto mwisho wa siku ninachokula tu hapa ni mtaji na sio faida maana vitu havitoki kabisa nawaza sana mpaka naumwa yaani nakosa hamu ya kula wala kufanua kitu yaani ninakaaa hata masaa mawili hakuna mteja dukani, nafikiri kuachana na biashara hiyo nihame kabisa niende arusha, maana hata mtaji umepungua kwa kasi sana
 
Mimi nimefanya biashara ya duka la rejareja ninamiaka minne au mitano sasa biashara ilikuwa nzuri tu lkini kuanzia mwaka jana wamekuja watu kufungua maduka tena wenye mitaji mikubwa zaidi mimi nimebaki na shangaa tu biashara haiendi kabisa na ukizingatia ninamke na watoto mwisho wa siku ninachokula tu hapa ni mtaji na sio faida maana vitu havitoki kabisa nawaza sana mpaka naumwa yaani nakosa hamu ya kula wala kufanua kitu yaani ninakaaa hata masaa mawili hakuna mteja dukani, nafikiri kuachana na biashara hiyo nihame kabisa niende arusha, maana hata mtaji umepungua kwa kasi sana
Kwamba umeshindwa kutembelea uenyeji
 
Mimi nimefanya biashara ya duka la rejareja ninamiaka minne au mitano sasa biashara ilikuwa nzuri tu lkini kuanzia mwaka jana wamekuja watu kufungua maduka tena wenye mitaji mikubwa zaidi mimi nimebaki na shangaa tu biashara haiendi kabisa na ukizingatia ninamke na watoto mwisho wa siku ninachokula tu hapa ni mtaji na sio faida maana vitu havitoki kabisa nawaza sana mpaka naumwa yaani nakosa hamu ya kula wala kufanua kitu yaani ninakaaa hata masaa mawili hakuna mteja dukani, nafikiri kuachana na biashara hiyo nihame kabisa niende arusha, maana hata mtaji umepungua kwa kasi sana

Ndani ya miaka 4 ulishindwa kutanua biashara yako iwe kubwa ili mpinzani akija mshindane kweli kweli ama ulifikiri utakuwa wewe tu peke yako milele?
 
Ndani ya miaka 4 ulishindwa kutanua biashara yako iwe kubwa ili mpinzani akija mshindane kweli kweli ama ulifikiri utakuwa wewe tu peke yako milele?
ndani ya miaka hiyo nilijitahidi sana kukuza biashara lakin pia majuku ya kifamilia yalikuwa yanategem hapo hpo kwenye biashara, na mambo mengine pia
 
Anayependa / anayeweza kupambana kwa kufungua biashara ya library (kuingiza nyimbo kwenye simu ,memory cards,kuflash sim n.k)
Naomba tuwasiliane ili tuyajenge.kuna kisehemu hapa manzese(dar es aalaam) kinafaa
 
Anayependa / anayeweza kupambana kwa kufungua biashara ya library (kuingiza nyimbo kwenye simu ,memory cards,kuflash sim n.k)
Naomba tuwasiliane ili tuyajenge.kuna kisehemu hapa manzese(dar es aalaam) kinafaa
Tekenolojia imekua sana sasa hivi smartphone zina kitu kinaitwa OTG hii unachomeka flash kisha unajihamishia videos au audio kutoka kwenye simu kwenda kwenye flash

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Tekenolojia imekua sana sasa hivi smartphone zina kitu kinaitwa OTG hii unachomeka flash kisha unajihamishia videos au audio kutoka kwenye simu kwenda kwenye flash

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi, lakini demand ya hizo "studio za uswahilini" bado ni kubwa ukipata eneo sahihi.

Uswazi sio wote wanahangaika na simu janja na otg kucheki tamthiliya, nyimbo etc.

Wengi hutumia hizo studio za uswahilini kuweka movies kwenye flash na kuazima cd's kucheki majumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tekenolojia imekua sana sasa hivi smartphone zina kitu kinaitwa OTG hii unachomeka flash kisha unajihamishia videos au audio kutoka kwenye simu kwenda kwenye flash

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Boss wewe tu ndo unafaham hiyo OTG, kuna wengine huku wakaa vibarazani wenzangu hivo vitu ni vigeni, kwahiyo bado huduma inahitajika ndomaana nimeona nikamate fursa.
Yan wakati wewe unapakua movies online ,kuna wengine tunapanga foleni kwa juma khan atukodishe cd ,kwahiyo kilamtu ashinde mechi zake kwakweli
 
Upo sahihi, lakini demand ya hizo "studio za uswahilini" bado ni kubwa ukipata eneo sahihi.

Uswazi sio wote wanahangaika na simu janja na otg kucheki tamthiliya, nyimbo etc.

Wengi hutumia hizo studio za uswahilini kuweka movies kwenye flash na kuazima cd's kucheki majumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umeongea [emoji4]
 
Back
Top Bottom