Armani William
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 248
- 744
Tangu lini T 000 zimeanza kutumika kwny no. Plates boss?Namba mpaka leo hii zimefika T 000 EAG. Unahisi itachukua muda gani kufika T 000 FAA tukiangazia kipato cha watanzania kumiliki gari na uchumi wa dunia unavyoenda...
Huo ni mfano tu mkuu.Tangu lini T 000 zimeanza kutumika kwny no. Plates boss?
Sawa mkuu.Huo ni mfano tu mkuu.
Z itakukuta kaburini πππ kama namba E imeanza tayari tushavuka nusu ya expectancy ya maisha jua kutoboa Z labda uwe na roho ya Mwinyi πππAcha nisikilizie namba Z tuu
mie najua nagonga 120 haina shida kabisa hiyo kama Musa wa kwenye bible miaka 120 na nguvu zakeZ itakukuta kaburini πππ kama namba E imeanza tayari tushavuka nusu ya expectancy ya maisha jua kutoboa Z labda uwe na roho ya Mwinyi πππ
Kama NATO na Urusi hawatafumuana nyuklia namba F ni kati ya mwaka 2030-2032 hapo, sijajua mwezi utakuwa ganii la tuliojaliwa uzima tutaishuhudia na wajukuu zetu.Namba mpaka leo hii zimefika T 100 EAG. Unahisi itachukua muda gani kufika T 100 FAA tukiangazia kipato cha Watanzania kumiliki gari na uchumi wa dunia unavyoenda. Na wewe ukakamatia ndinga ya ndoto yako.
Musa wa mchongo, sometimes ile miaka nahisi walikuwa wanahesabu siku 30 ndio mwaka mmoja!πππmie najua nagonga 120 haina shida kabisa hiyo kama Musa wa kwenye bible miaka 120 na nguvu zake
NGUMBE NGOJA NIWEKE KIBUBU NIWEKE HATA JEROJERO MPAKA F IFIKE NAVUTA ROSI ROSI