Tunaotarajia kuomba Institute of finance management (IFM) tukutane hapa

Tunaotarajia kuomba Institute of finance management (IFM) tukutane hapa

Joined
Feb 14, 2022
Posts
62
Reaction score
95
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi huu. Kwa tunaotarajia kuomba INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM) tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Chuo hiki au ambao mlisoma hapo /bado mnasoma hapo nawakaribisha mtupe uzoefu kuhusu chuo hiki kwenye mode of delivery, field na mengineyo.

Nawasilisha wakuu.🙏🙏🙏
 
Mkasome huko! Kafateni mikumbo na ushamba wenu mtaishia muhula wa kwanza... Wale hawanaga mchezo.

Tambua na uikumbuke hali ya nyumbani kwenu, uende ukaige wanaoazimwa magari na Kaka zao wenye makazi na mamishahara makubwa plus connection, mtaishia pabaya! Enzi sisi tunasoma Ngoma ilikuwa kwa kiasi kikubwa sana! Sijui siku hizi... Labda ARV imepunguza makali.

Wanaume huwaga ni wambea na wenye kufatiliana na kuchafuana (chuki binafsi) kuliko wanawake. Baadhi ya walimu wana utoto ndani yao wenye waliopata ajira kimazabe na connection, wakiku-mind hutakaa ufaulu... Soma usomavyo, utaishia kupata "C", ukipasua sana "B".... Mwisho wa siku GPA inasoma "2"

Ukiishi pale kama haupo, fata kilichokupeleka, fanya assignments zote na discussion shiriki, test na final utamaliza salama.

Epukana mikumbo, kutafuta umaarufu na kujulikana kusiko na sababu! Kutakuponza.

Kila la kheri!
 
Mkasome huko! Kafateni mikumbo na ushamba wenu mtaishia muhula wa kwanza... Wale hawanaga mchezo.

Tambua na uikumbuke hali ya nyumbani kwenu, uende ukaige wanaoazimwa magari na Kaka zao wenye makazi na mamishahara makubwa plus connection, mtaishia pabaya! Enzi sisi tunasoma Ngoma ilikuwa kwa kiasi kikubwa sana! Sijui siku hizi... Labda ARV imepunguza makali.

Wanaume huwaga ni wambea na wenye kufatiliana na kuchafuana (chuki binafsi) kuliko wanawake. Baadhi ya walimu wana utoto ndani yao wenye waliopata ajira kimazabe na connection, wakiku-mind hutakaa ufaulu... Soma usomavyo, utaishia kupata "C", ukipasua sana "B".... Mwisho wa siku GPA inasoma "2"

Ukiishi pale kama haupo, fata kilichokupeleka, fanya assignments zote na discussion shiriki, test na final utamaliza salama.

Epukana mikumbo, kutafuta umaarufu na kujulikana kusiko na sababu! Kutakuponza.

Kila la kheri!
Duuh Asante sana brother,,
Nimeelewa 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom