Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Tunaotoka mkoa wa MARA
Kwa neema za Mwenyezi MUNGU wanajamii forum wote mu wazima wa afya
Jamii forum ina watu tofauti tofauti kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini
Leo naomba kwa wale wote tuliokaa ,tunaotoka au tunaoishi mkoa wa MARA tuambie ni changamoto gani unayokutana nayo kutoka kwa watu wa sehemu tofauti au uliyokutana nayo kwa sababu tu wewe ni kutoka mara (mkurya kama wengi wanavyodhani )
Au wewe ulipata changamoto gani kutoka kwa watu wa mara
......... Kuanza na mimi changamoto kubwa ni pale napojitambulisha kuwa ni mtu wa mara na mkurya watu kutamka hadharani kuwa Sisi wakurya ni KATILI na wanatuogopa huwa najisikia vibaya sana na sifa mbaya nyingne kama hizo
Karibu na wewe utwambie changamoto na ikiwezekana tuweze kubadirisha watu mitazamo yao kuhusu Sisi ::
Nb...si kila mtu kutoka mara ni mkurya
Ila mimi ni ndiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa neema za Mwenyezi MUNGU wanajamii forum wote mu wazima wa afya
Jamii forum ina watu tofauti tofauti kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini
Leo naomba kwa wale wote tuliokaa ,tunaotoka au tunaoishi mkoa wa MARA tuambie ni changamoto gani unayokutana nayo kutoka kwa watu wa sehemu tofauti au uliyokutana nayo kwa sababu tu wewe ni kutoka mara (mkurya kama wengi wanavyodhani )
Au wewe ulipata changamoto gani kutoka kwa watu wa mara
......... Kuanza na mimi changamoto kubwa ni pale napojitambulisha kuwa ni mtu wa mara na mkurya watu kutamka hadharani kuwa Sisi wakurya ni KATILI na wanatuogopa huwa najisikia vibaya sana na sifa mbaya nyingne kama hizo
Karibu na wewe utwambie changamoto na ikiwezekana tuweze kubadirisha watu mitazamo yao kuhusu Sisi ::
Nb...si kila mtu kutoka mara ni mkurya
Ila mimi ni ndiyo
Sent using Jamii Forums mobile app