Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

Mimi nilizuru mkoa flani na kujitambulisha kuwa ninatokea Serengeti. Watu wale niliojitambulisha kwao wakawa wanashangaa na kuniuliza, "serengeti si ni hifadhi ya WANYAMA???!"

Ilibidi nichukue muda wa kutosha kuwafahamisha kuhusu wilaya yetu pendwa ya Serengeti.

sent from servant of God
 
Nimeishi Na wakurya mda mrefu sana!
Kwanza niwasifu kitu kimoja mna jali sana ndugu,
Ila MNA haya;
Ati mtoto akifeli shule au akiharibu chochote basi mwanaume anakuja kumgombeza mama nyumbani! Yaani utafikiri huyu mama alimtuma mtoto afeli......

*Kujifanya much know sana ! hapa Ndio mnameza rekodi!
*Wivu kwa wanawake wakati huo we mwanaume kutoka Na wanawake wengine basi Ndio unajiona wewe kidume!
*Kukeketa watoto wenu wa kike halafu mkifika mjini mnashoboka Na wanawake wa makabila mengine ambao hawajakeketwa Na kuona kama ulipotea vile kuoa aliyekeketwa!

[HASHTAG]#Nitaendelea[/HASHTAG]
 
Mm pia ni wa Mara nakumbka nilivyoenda a-lavel moshi nilikua naogopeka vby mno kitu changu kilikua akiguswi ovyo ingawa mimi ni mixer mluo na mjita
 
Proud to be a Tanzanian.
Proud to be a Kurian.
Changamoto nayoipata kwa mkoa ninaokaa sasa hivi ni ile kasumba ya watu kuhisi kwamba sisi wakurya ni wakatili sana kwa wanawake na pia wakorofi.

Yaani mtu anaogopa mwanae kuja olewa na mkurya.
 
Mkuu nimekuelewa vizuri sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proud to be a Tanzanian.
Proud to be a Kurian.
Changamoto nayoipata kwa mkoa ninaokaa sasa hivi ni ile kasumba ya watu kuhisi kwamba sisi wakurya ni wakatili sana kwa wanawake na pia wakorofi.

Yaani mtu anaogopa mwanae kuja olewa na mkurya.
Yaani mkuu umeongea kweli mimi mwenyewe ni mhanga wa hilo ni

na girl wangu kabila lingine sasa marafiki zake wanavompa maneno kila sifa mbaya Ya sisi wakurya wanampa

Sa ishakuwa changamoto kwenye mahusiano

Yaani kwenye hilo kuna changamoto kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninasikia usimpompiga mke wako humpendi ni kweli?
Sister angu hilo jambo halina ukweli hata kidogo ila ni watu ndiyo wanatupakazia hivo
Ila hata ukijaribu kumuuliza huyo mtu una uhakika gani anakwambia eti nimeambiwa au nasikiaga kuwa hiyo ni sifa zao..

Huo ni uongo hakuna mwanamke hapa duniani ambae anataka kupigwa na mme wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakurya achen wizi fanyen kazi

Vile vile achen kuzikimbia familia zenu na kukimbilia mikoa ya watu

Ukiangalia mkoa wa mara kwa sasa ndo mkoa masikin kuliko yote kanda ya ziwa, mkoa kwa sasa unazidiwa mbali sana na mikoa mipya ya usukuman kama geita na simiyu pia inazidiwa mbali sana na wilaya za kahama na maswa

Wakurya badiliken kuwen na akili achen ushamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…