Tunaoumia Simba ikirudi kwa form yake tujuane

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Mimi binafsi sitamani SSC irudi kwa form.

Niseme Wazi matatizo yao ndio furaha yangu. Simba iendelee kuwa kwenye mgogoro na kufanya vibaya.

Pamoja na yote yaliyotokea leo, bado sikioni kikosi cha SSC kitakachoweza kuvaana na Yanga.

Sijapenda tabia ya Ally kufokeana na beki wake hadharani, hizi ni tabia za manula anapokimbiaga responsibility, ni aina nyingine pia ya kuwa na IQ ndogo.

kwenye timu ukiona players wanasukumana that means kuna nidham kwenye timu haijajengwa, SSC bado inamatatizo mengine na inatakiwa kusimamia DISCIPLINE, Ally Salum ameonesha immature na ukosefu wa nidham.

Anapswa kukemewa VIKALI asirudio hizo tabia za michangani.


Ila Luis yale mashoti yake kwa mbali yanaanza kurudi
 
Hata kwenye Maisha ya kawaida hakuna matatizo yanayodumu milele vinginevyo hata tusingekuwa hai. Matatizo huja na kupita. Usipoteze muda kumwombea adui yako matatizo siku akisimama tena utaumia. Zile goli 5 hazikuwa goli Tu Bali kiama😄. Technologia imezikuza mpaka wachezaji, Viongozi na mashabiki wakapoteana. Iko siku Viongozi WA Simba watakiri.
 
Benchika anajua mtihani mkubwa ulioko mbele yake (Azam) hii mechi akiipoteza itaiweka Simba kwenye wakati mgumu sana hivyo anatumia mapinduzi cup serious kujenga kikosi
 
Aliyefokeana na kipa sio onana ni beki wenu kipenzi wa CAF che malone aliyetaka kuchomesha. kweli ninyi ni mbumbumbu yaani onana na malone wapi na wapi? halafu msijisifu kuna vyuma vya singida vimeitwa kwenye timu zao za taifa mfano mahrof tchakei huyu angekuwemo mbona mgekoma
 
Benchika anajua mtihani mkubwa ulioko mbele yake (Azam) hii mechi akiipoteza itaiweka Simba kwenye wakati mgumu sana hivyo anatumia mapinduzi cup serious kujenga kikosi

Tutaona,
 

Simba ibaki ivo ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…