BATULUNGE
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 391
- 633
Jengo lipo Makongo juu ccm, takriban 3 kutokea Mlimani city
Jengo ni mpya na nzuri Sana na kuna maji ya kutosha masaa 24, umeme ni wa uhakika hata ikitokea umekatika lipo jenereta kubwa la kuweza kukidhi matumizi ya umeme kwa jengo nzima,
Kwa wale wanaotaka kuweka office nafasi zipo za kutosha,
Wanaotaka vyumba au apartments zipo za kutosha
Kwa wanaotaka hostel hasa wanafunzi wa Chuo kikuu cha Ardhi na UDSM nafasi zipo za kutosha
Jengo lina miundombinu bora na imara kwaajili ya kukidhi mahitaji ya wapangaji wote
Kwa mawasiliano zaidi piga namba #0656077998, 0763630072
Jengo ni mpya na nzuri Sana na kuna maji ya kutosha masaa 24, umeme ni wa uhakika hata ikitokea umekatika lipo jenereta kubwa la kuweza kukidhi matumizi ya umeme kwa jengo nzima,
Kwa wale wanaotaka kuweka office nafasi zipo za kutosha,
Wanaotaka vyumba au apartments zipo za kutosha
Kwa wanaotaka hostel hasa wanafunzi wa Chuo kikuu cha Ardhi na UDSM nafasi zipo za kutosha
Jengo lina miundombinu bora na imara kwaajili ya kukidhi mahitaji ya wapangaji wote
Kwa mawasiliano zaidi piga namba #0656077998, 0763630072