Tunapata hasara sana kuwa na Viongozi na Watendaji wasiowajibika ipasavyo

Tunapata hasara sana kuwa na Viongozi na Watendaji wasiowajibika ipasavyo

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nakumbuka mwaka jana au juzi Star link walitaka kuja kuwekeza Tanzania. Nape na watendaji wake wa TCRA, Star link walipigwa danadana hadi hawajawekeza bongo.

Sababu zilizotolewa na Nape na wataalam wake uchwara na za hovyo eti za kutaka data center yao kuwepo nchini.

Ukiwasikiliza Nape na Wataalaam wa Tanzania utagundua bongo tuna viongozi na watendaji wasio na uwajibikaji mzuri sana kwa sababu hao Star link kuwa na kutokuwa na data centre yao hapa nchini haizuii vitu unavyofanya kupitia computer yako au kifaa chochote nchini kutoweza kuingiliwa na kuibwa kitaalam na mtu yeyote mwenye teknolojia ya juu zaidi.

Tuliona siku si nyingi Nchi yetu ikapata tatizo la kimtandao ambalo kwa mujibu wa wataalam endapo Star link wangekuweko tusingepata ule mkwamo maana tungekuwa na alternative means ya kuendelea kuwasiliana tena kwa bei rahisi sana.

Leo tena kimeumana. Vodacom mtandao umeanza kusumbua jioni hii. Hatujui muda si mrefu itakuwa kwa mitandao gani.

Hali hii inanifanya ni conclude kuwa endapo Tanzania tutaendelea kuongozwa na viongozi wasitambua inawezekana hadi mwisho wa dunia unafika tukawa hatujapata maendeleo ya kweli!
.
 
Wewe ambaye sio kilaza mbona sio kiongozi?

Unaongozwa na wenye akili na wajanja.

Wewe hata ufanyeje huwezi kuwa kiongozi.

Kuhusu mtandao wa voda kusumbua hata mimi nimeona hio hali nikalazimika kununua bando la tigo.

Mwisho, hakuna uhusiano wa mtandao kusumbua na viongozi kuwa vilaza.
 
screenshot_20240612-103559.jpg
 
Nakumbuka mwaka jana au juzi Star link walitaka kuja kuwekeza Tanzania. Kutokana na ukilaza wa Nape na watendaji wake wa TCRA, Star link walipigwa danadana hadi hawajawekeza bongo.

Sababu zilizotolewa na Nape na wataalam wake uchwara na za hovyo eti za kutaka data center yao kuwepo nchini.

Ukiwasikiliza Nape na Wataalaam wa Tanzania utagundua bongo tuna viongozi na watendaji matahira sana kwa sababu hao Star link kuwa na kutokuwa na data centre yao hapa nchini haizuii vitu unavyofanya kupitia computer yako au kifaa chochote nchini kutoweza kuingiliwa na kuibwa kitaalam na mtu yeyote mwenye teknolojia ya juu zaidi.


Tuliona siku si nyingi Nchi yetu ikapata tatizo la kimtandao ambalo kwa mujibu wa wataalam endapo Star link wangekuweko tusingepata ule mkwamo maana tungekuwa na alternative means ya kuendelea kuwasiliana tena kwa bei rahisi sana.

Leo tena kimeumana. Vodacom mtandao umeanza kusumbua jioni hii. Hatujui muda si mrefu itakuwa kwa mitandao gani.

Hali hii inanifanya ni conclude kuwa endapo Tanzania tutaendelea kuongozwa na vilaza inawezekana hadi mwisho wa dunia unafika tukawa hatujapata maendeleo ya kweli!
.
sure,
kwa mfano unakuta kiongozi wa chama kwasababu ya ulevi tu anakurupuka huko eti waru waandamane samia must go?

sasa unajiuliza kiongozi kama huyu alikua anakunywa nini, na anatuonaje wanachama tusiotumia kilevi? :pulpTRAVOLTA:
 
Nakumbuka mwaka jana au juzi Star link walitaka kuja kuwekeza Tanzania. Kutokana na ukilaza wa Nape na watendaji wake wa TCRA, Star link walipigwa danadana hadi hawajawekeza bongo.

Sababu zilizotolewa na Nape na wataalam wake uchwara na za hovyo eti za kutaka data center yao kuwepo nchini.

Ukiwasikiliza Nape na Wataalaam wa Tanzania utagundua bongo tuna viongozi na watendaji matahira sana kwa sababu hao Star link kuwa na kutokuwa na data centre yao hapa nchini haizuii vitu unavyofanya kupitia computer yako au kifaa chochote nchini kutoweza kuingiliwa na kuibwa kitaalam na mtu yeyote mwenye teknolojia ya juu zaidi.


Tuliona siku si nyingi Nchi yetu ikapata tatizo la kimtandao ambalo kwa mujibu wa wataalam endapo Star link wangekuweko tusingepata ule mkwamo maana tungekuwa na alternative means ya kuendelea kuwasiliana tena kwa bei rahisi sana.

Leo tena kimeumana. Vodacom mtandao umeanza kusumbua jioni hii. Hatujui muda si mrefu itakuwa kwa mitandao gani.

Hali hii inanifanya ni conclude kuwa endapo Tanzania tutaendelea kuongozwa na vilaza inawezekana hadi mwisho wa dunia unafika tukawa hatujapata maendeleo ya kweli!
.
huu ndo ukweli japo unauma lakini hamna namna inabidi tuukubali hivo hivo na tujue jinsi ya kuishi nao. Hakuna sekta unayoweza kuitegemea ili kuokoa jahazi si jeshi wala tiss hakuna wala si wananchi kwamba tutajikomboa kutoka kwenye huo mfumo wa kutawaliwa na hao watu wa dizaini hiyo. Japo viongozi wa dizain hiyo ndio wanaotuongoza hatuna namna ya kubadili ila kwa kweli kama taifa tunapata hasara kubwa ya muda mrefu kwa sababu yao..
 
Hatimaye TCRA wametoa tangazo kuonyesha Star Link ameomba rasmi kutoa huduma za mtandao Tanzania.

Tungefanya haya maamuzi mapema tungekuwa mbali sana
 
Back
Top Bottom